Habar Wana Jamvi,
Baada Ya Serikali Kushindwa Kuwapeleka Wanachuo Walimu BTP Kama Ilivyokawaida Nmepata Habari Kuwa Imeamua Kuwarudisha Nyumbani Hadi Tarehe Za Kukaribia Kufanya Mitihan Mwez Wa Tano Kwa Kukosa Chakula Na Fedha Za Btp,
Tayar Chuo Cha Marangu Korogwe Na Bustan Second Year Wameshaondoka Kwenda Majumbani,
Baada Ya Serikali Kushindwa Kuwapeleka Wanachuo Walimu BTP Kama Ilivyokawaida Nmepata Habari Kuwa Imeamua Kuwarudisha Nyumbani Hadi Tarehe Za Kukaribia Kufanya Mitihan Mwez Wa Tano Kwa Kukosa Chakula Na Fedha Za Btp,
Tayar Chuo Cha Marangu Korogwe Na Bustan Second Year Wameshaondoka Kwenda Majumbani,