Serikali yapunguza misaada kutoka nje kwa asilimia 0.9% kwenye bajeti ya 2026/2027

Serikali yapunguza misaada kutoka nje kwa asilimia 0.9% kwenye bajeti ya 2026/2027

Ile ndoto ya Tanzania kujitegemea kiuchumi imetimia chini ya Rais Samia ambapo Kwa mara ya kwanza katika Historia ya Nchi,tumekata utegemezi wa misaada Kwa Mabeberu Hadi asilimia 0.9%.

Ndio kusema Bajeti ya Nchi Kwa Sasa inafadhikiwa na Mapato ya ndani ya Watanzania Kwa asilimia 99.1% ambapo Mapato ya Kodi ni 74.2% (sawa na Trilioni 46.8) ya Mapato yote ya Shilingi Trilioni 62.3.Pia Sina Ongezeko la bajeti ya serikali mwaka 2026/27 kutoka trilioni 55 hadi trilioni 62 ni ujumbe tosha kwamba Tanzania haitayumbishwa na mabeberu | Page 5 | JamiiForums Ongezeko la bajeti ya serikali mwaka 2026/27 kutoka trilioni 55 hadi trilioni 62 ni ujumbe tosha kwamba Tanzania haitayumbishwa na mabeberu

Utekelezaji wa vision 2050 umeanza Kwa kishindo.

View: https://www.instagram.com/p/DV0BNQwApOZ/?igsh=MWVjY2VucDFjcGhwdQ==

My Take
Samia anaongea kidogo matokeo makubwa,Beberu na vibaraka wao kwisha habari Yao.

Huu ndio Uongozi unaoacha alama.
View attachment 3557309

Upuuzi mtupu
 
Ivi wewe Choice umeelewa ulichokiandika? Serikali imepunguza asilimia
0.9 pesa za misaada toka kwa mabeberu, mana yake kama serikali ilikuwa inategemea pesa za misaada toka nje kwa asilimia arubaini, sasa imepunguza kwa asilimia 0.9 mana yake bado inategemea misaada hiyo kwa asilimia 39.01. Na hizo asilimia haijapunguza yenyewe bali imenyimwa misaada hiyo.
 
Inaelekea jamaa Math haipandi kabisa. Yaani punguzo la asilimia 0.9 yeye anaona ni kitu kikubwa sana mpaka anafikiri tutajitegemea kwa 99 %.
Hiyo margin ndogo anaona kubwa saaana. Kama 99% bado tunategemea nje bado safari ni ndefu
 
Ile ndoto ya Tanzania kujitegemea kiuchumi imetimia chini ya Rais Samia ambapo Kwa mara ya kwanza katika Historia ya Nchi,tumekata utegemezi wa misaada Kwa Mabeberu Hadi asilimia 0.9%.

Ndio kusema Bajeti ya Nchi Kwa Sasa inafadhikiwa na Mapato ya ndani ya Watanzania Kwa asilimia 99.1% ambapo Mapato ya Kodi ni 74.2% (sawa na Trilioni 46.8) ya Mapato yote ya Shilingi Trilioni 62.3.Pia Sina Ongezeko la bajeti ya serikali mwaka 2026/27 kutoka trilioni 55 hadi trilioni 62 ni ujumbe tosha kwamba Tanzania haitayumbishwa na mabeberu | Page 5 | JamiiForums Ongezeko la bajeti ya serikali mwaka 2026/27 kutoka trilioni 55 hadi trilioni 62 ni ujumbe tosha kwamba Tanzania haitayumbishwa na mabeberu

Utekelezaji wa vision 2050 umeanza Kwa kishindo.

View: https://www.instagram.com/p/DV0BNQwApOZ/?igsh=MWVjY2VucDFjcGhwdQ==

My Take
Samia anaongea kidogo matokeo makubwa,Beberu na vibaraka wao kwisha habari Yao.

Huu ndio Uongozi unaoacha alama.
View attachment 3557309

Hizo ni NAMBA.

Makusanyo ni KITU KINGINE.

Makusanyo hayatafika hata 55% ya hiyo BUDGET.

Kitakachofuata ni UKOPAJI MFULULIZO au PPP kwenye miradi, maana hata pesa ya kujenga kibarabara cha mtaa haitakuwepo.
 
Ivi wewe Choice umeelewa ulichokiandika? Serikali imepunguza asilimia
0.9 pesa za misaada toka kwa mabeberu, mana yake kama serikali ilikuwa inategemea pesa za misaada toka nje kwa asilimia arubaini, sasa imepunguza kwa asilimia 0.9 mana yake bado inategemea misaada hiyo kwa asilimia 39.01. Na hizo asilimia haijapunguza yenyewe bali imenyimwa misaada hiyo.
Hata hivyo ni Pigo kubwa kwa Vibaraka wa Mabeberu tofauti na walivyotarajia kama tulikua tunakopeshwa 1000 tutakopeshwa 900.
 
Ivi wewe Choice umeelewa ulichokiandika? Serikali imepunguza asilimia
0.9 pesa za misaada toka kwa mabeberu, mana yake kama serikali ilikuwa inategemea pesa za misaada toka nje kwa asilimia arubaini, sasa imepunguza kwa asilimia 0.9 mana yake bado inategemea misaada hiyo kwa asilimia 39.01. Na hizo asilimia haijapunguza yenyewe bali imenyimwa misaada hiyo.
Mimi niliandika vizuri sana hiyo heading ila Kwa kuwa mods wamejaa Machadema wenye chuki ndio wakabadiki heading ya gu wakaweka huo ujinga wao.

Soma link ndio imeandikwa vizuri
 
Jf ni wa hovyo sana,hiyo heading wameweka wao sio ambayo niliweka Mimi na Wala haiiaandikwa hivyo kwenye link hapo ila Kwa sababu za chuki za kipumbavu za mods ndio wameandika hiyo Yao.

Nimewahi sema kwamba jf inamilikiwa na watu wa Chadema ambao ni wajinga na hakuna kitu wanajua kuhusu uchumi zaidi yakuendekeza chuki.
Sasa unataka uandike habari za uongo uachwe tu?
Nenda kapost Facebook huko,
Kwanza kama wamepunguza 0.9% ndio unasama wamefika 99.1?
Tunaposifia maendeleo ya nchi ni jambo zuri lakin lazima uwe na akili timamu.
🙏
 
Mimi niliandika vizuri sana hiyo heading ila Kwa kuwa mods wamejaa Machadema wenye chuki ndio wakabadiki heading ya gu wakaweka huo ujinga wao.

Soma link ndio imeandikwa vizuri
wewe uliandika upotoshaji ndio maana mods wakaifanyia uhakiki taarifa yako wakaiedit. Wapo vizuri wala usiwalaumu.
 
Hata hivyo ni Pigo kubwa kwa Vibaraka wa Mabeberu tofauti na walivyotarajia kama tulikua tunakopeshwa 1000 tutakopeshwa 900.
hao hao mabeberu unaowasema vibaya ndio wanaokukopesha, sijui unafurahia nini sasa hapo mkuu?
 
Wewe nyumbu ni WA hovyo kama mods wa jf ambao wamebadiki heading na Kuandika ujinga wao tofauti na heading yangu.

Pili baada ya kunyima huo Msaada ambao nyie vibaraka mnapewa umeona mradi gani umekwamisha? Au Hospitali Hazina dawa?

Niliona juzi umechangia ujinga eti wanafunzi wamekosa Mkopo wakati haijawahi kabla isipokuwa Kwa Samia wanafunzi wanapewa mikopo ya Bilioni 900 Kwa mwaka.
Usingepata jazba ningeshangaa sana. Miradi kukwama au kufanyika kwa kasi ndogo ni siri? Subiri bunge kibogoyo lianze keshokutwa usikie milio ya hao wahuni huko bungeni.

Hawajapata boom kwa wakati usibadili nilichosema. Kiwango huwa kinaongezeka kila wakati kwani uhitaji nao hukua. Ama kiwango kilibaki kilekile cha Nyerere kwa marais wengine wote, ila yeye pekee ndio akapandisha hadi hapo? Na kwa taarifa yako wala kiwango hicho sio kwa 100% kwa wote waliopata, na wala sio wote walioomba wamepata. Hivyo kuongezeka kiwango haimanishi mahitaji yamefikiwa.

Na kwa kukusaidia tu ww chawa mwenye jazba, hizo pesa sio za Samia bali ni kodi za nchi. Subiri Samia akifungua madrasa yake binafsi ukamsifie kwa kuwalipia ada wanafunzi.
 
Usingepata jazba ningeshangaa sana. Miradi kukwama au kufanyika kwa kasi ndogo ni siri? Subiri bunge kibogoyo lianze keshokutwa usikie milio ya hao wahuni huko bungeni.

Hawajapata boom kwa wakati usibadili nilichosema. Kiwango huwa kinaongezeka kila wakati kwani uhitaji nao hukua. Ama kiwango kilibaki kilekile cha Nyerere kwa marais wengine wote, ila yeye pekee ndio akapandisha hadi hapo? Na kwa taarifa yako wala kiwango hicho sio kwa 100% kwa wote waliopata, na wala sio wote walioomba wamepata. Hivyo kuongezeka kiwango haimanishi mahitaji yamefikiwa.

Na kwa kukusaidia tu ww chawa mwenye jazba, hizo pesa sio za Samia bali ni kodi za nchi. Subiri Samia akifungua madrasa yake binafsi ukamsifie kwa kuwalipia ada wanafunzi.
Miradi gani imekwama wewe nyumbu?

Tanzania Ina miradi Mingi kuliko Nchi yeyote ya Africa Kwa Sasa.
 
Back
Top Bottom