ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,084
- 84,976
Ile ndoto ya Tanzania kujitegemea kiuchumi imetimia chini ya Rais Samia ambapo Kwa mara ya kwanza katika Historia ya Nchi,tumekata utegemezi wa misaada Kwa Mabeberu Hadi asilimia 0.9%.
Ndio kusema Bajeti ya Nchi Kwa Sasa inafadhikiwa na Mapato ya ndani ya Watanzania Kwa asilimia 99.1% ambapo Mapato ya Kodi ni 74.2% (sawa na Trilioni 46.8) ya Mapato yote ya Shilingi Trilioni 62.3.Pia Sina Ongezeko la bajeti ya serikali mwaka 2026/27 kutoka trilioni 55 hadi trilioni 62 ni ujumbe tosha kwamba Tanzania haitayumbishwa na mabeberu | Page 5 | JamiiForums Ongezeko la bajeti ya serikali mwaka 2026/27 kutoka trilioni 55 hadi trilioni 62 ni ujumbe tosha kwamba Tanzania haitayumbishwa na mabeberu
Utekelezaji wa vision 2050 umeanza Kwa kishindo.
View: https://www.instagram.com/p/DV0BNQwApOZ/?igsh=MWVjY2VucDFjcGhwdQ==
My Take
Samia anaongea kidogo matokeo makubwa,Beberu na vibaraka wao kwisha habari Yao.
Huu ndio Uongozi unaoacha alama.
Ndio kusema Bajeti ya Nchi Kwa Sasa inafadhikiwa na Mapato ya ndani ya Watanzania Kwa asilimia 99.1% ambapo Mapato ya Kodi ni 74.2% (sawa na Trilioni 46.8) ya Mapato yote ya Shilingi Trilioni 62.3.Pia Sina Ongezeko la bajeti ya serikali mwaka 2026/27 kutoka trilioni 55 hadi trilioni 62 ni ujumbe tosha kwamba Tanzania haitayumbishwa na mabeberu | Page 5 | JamiiForums Ongezeko la bajeti ya serikali mwaka 2026/27 kutoka trilioni 55 hadi trilioni 62 ni ujumbe tosha kwamba Tanzania haitayumbishwa na mabeberu
Utekelezaji wa vision 2050 umeanza Kwa kishindo.
View: https://www.instagram.com/p/DV0BNQwApOZ/?igsh=MWVjY2VucDFjcGhwdQ==
My Take
Samia anaongea kidogo matokeo makubwa,Beberu na vibaraka wao kwisha habari Yao.
Huu ndio Uongozi unaoacha alama.