mnyonge mnyongeni lakini haki
yake mpeni,nadhani tumsifu na kumuunga mkono huyu naibu katibu mkuu kwa
msimamo wake na hatua anazochukua na kabla hajaenda mikoani labda
ameshasafisha wizarani kwake,ma ps wengine waige mfano huu
huyu katibu aliyetamka haya ni juakalulu
na muandishi aliyeandika haya ni juakalulu
hebu watutajie ni watumishi gani wanalipwa posho wakiwa vituo vya kazi.
WEWE NDIO JUAKALULU!
Anaposema kwenye kituo cha kazi ana maana ya kuwa ndani ya Wilaya husika, mfano mtumishi anayefanyia kazi makao makuu ya wilaya anapoenda Vijijini kufanya kazi fulani. Hakuna watumishi wanaolipwa posho kwa kwenda vijijini kutimiza majukumu yao?
Juakalulu mkubwa wee!