Serikali yaomba mkopo nafuu Barclays bank ili kukamilisha miradi ya reli ya Standard Gauge na umeme Stiglers Gorge

isupilo

JF-Expert Member
Jan 25, 2015
303
1,254
image.jpeg

Leo Waziri wa Uchumi na Mipango Mh.Dr Philipo Mpango,ametembelea makao makuu ya Bank ya Barclays na kuiomba kuisaidia serikali ya Tanzania mkopo wa riba nafuu ili iweze kutekeleza miradi yake ya miundombinu ya Reli ya kati ya "Standard Gauge" na mradi wa Umeme wa S.Gorge.

Waziri Mpango ameiomba bank hiyo kutenga kiasi cha fedha ili kuikopesha serikali ili iweze kujenga miradi yake ambayo inahitaji pesa nyingi na kuweza kufikia adhma ya nchi za viwanda.

Swali:Inakuwaje tena Serikali inaanza kwenda kukopa kwenye mabank binafsi na wakati tuliambiwa pesa inayojenga reli ya Standard Gauge na ule mradi wa Stiglers Gorge(?) ni pesa ya ndani ambayo ni kodi yetu?Je kiuchumi kuna athari gani kukopa bank binafsi kama Barclays?
Zile taarifa kuwa miradi inajengwa kwa pesa za ndani huwa ni siasa tu?Kwamba hakuna pesa ndiyo maana tunazunguka kukopa mpaka Barclays?
 
Leo Waziri wa Uchumi na Mipango Mh.Dr Philipo Mpango,ametembelea makao makuu ya Bank ya Barclays na kuiomba kuisaidia serikali ya Tanzania mkopo wa riba nafuu ili iweze kutekeleza miradi yake ya miundombinu ya Reli ya kati ya "Standard Gauge" na mradi wa Umeme wa S.Gorge.

Waziri Mpango ameiomba bank hiyo kutenga kiasi cha fedha ili kuikopesha serikali ili iweze kujenga miradi yake ambayo inahitaji pesa nyingi na kuweza kufikia adhma ya nchi za viwanda.

Swali:Inakuwaje tena Serikali inaanza kwenda kukopa kwenye mabank binafsi na wakati tuliambiwa pesa inayojenga reli ya Standard Gauge na ule mradi wa Stiglers Gorge(?) ni pesa ya ndani ambayo ni kodi yetu?Je kiuchumi kuna athari gani kukopa bank binafsi kama Barclays?
Zile taarifa kuwa miradi inajengwa kwa pesa za ndani huwa ni siasa tu?Kwamba hakuna pesa ndiyo maana tunazunguka kukopa mpaka Barclays?
Kwani huo mkopo utalipwa kwa kutumia fedha za babu yako wa Marekani?
 
View attachment 688288
Leo Waziri wa Uchumi na Mipango Mh.Dr Philipo Mpango,ametembelea makao makuu ya Bank ya Barclays na kuiomba kuisaidia serikali ya Tanzania mkopo wa riba nafuu ili iweze kutekeleza miradi yake ya miundombinu ya Reli ya kati ya "Standard Gauge" na mradi wa Umeme wa S.Gorge.

Waziri Mpango ameiomba bank hiyo kutenga kiasi cha fedha ili kuikopesha serikali ili iweze kujenga miradi yake ambayo inahitaji pesa nyingi na kuweza kufikia adhma ya nchi za viwanda.

Swali:Inakuwaje tena Serikali inaanza kwenda kukopa kwenye mabank binafsi na wakati tuliambiwa pesa inayojenga reli ya Standard Gauge na ule mradi wa Stiglers Gorge(?) ni pesa ya ndani ambayo ni kodi yetu?Je kiuchumi kuna athari gani kukopa bank binafsi kama Barclays?
Zile taarifa kuwa miradi inajengwa kwa pesa za ndani huwa ni siasa tu?Kwamba hakuna pesa ndiyo maana tunazunguka kukopa mpaka Barclays?
Chanzo cha habari yako tafadhali!
 
Wameshamaliza pesa za Mifuko ya Jamii, Kwisha

Serikali imefilishi mifuko ya Jamii na haitaki kulipa

Hakuna FAO LA KUJITOA, CCM Hoyeeee

Katika huo muswada, aliyosoma Mh. Jenista Mhagama, kuna FAO LA UKOSEFU WA AJIRA

Sharti: Ili upate Fao la ukosefu wa Ajira...Usiwe umeacha kazi kwa hiari

Ina maana marufuku mtanzania kujiajiri, uwe mfanyakazi maisha yako yote mpaka ustaafu\

Pili: Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa jamii athibitishe kuwa huna ajira (Bureau crazy)

Ni Mateso kwa Wafanyakazi, ni Kiama...

Hata kama Kampuni au Mwajiri anakutesaje au hata ukose haki vipi, Hakuna kuresign

[HASHTAG]#TUCTA[/HASHTAG] kimyaaa

Watanzania wenzangu....Lengo la hii mifuko ni kumsaidia mtanzania au kumnyonya?

Kwa nini Serikali isingekusanya maoni ya Wafanyakazi? Ubabe na Udikteta..
 
Ile bombardier yetu bado iko 'rehani' huku tunaendelea kukopa. Hivi aliyemwambia huyu "mzalendo" kwamba miradi hii ni lazima ikamilike kwa pesa za walipa kodi tu ni Nani? Ona sasa, yuko 'chini' ya miguu kuomba mkopo nafuu. Subiri uone riba ya benki binafsi itakavyotutumikisha!
 
Ile bombardier yetu bado iko 'rehani' huku tunaendelea kukopa. Hivi aliyemwambia huyu "mzalendo" kwamba miradi hii ni lazima ikamilike kwa pesa za walipa kodi tu ni Nani? Ona sasa, yuko 'chini' ya miguu kuomba mkopo nafuu. Subiri uone riba ya benki binafsi itakavyotutumikisha!

No longer moja zimeishafika tatu zimewekwa chini ya ulinzi
 
Back
Top Bottom