Serikali yangu ya CCM na suala la Gesi: Something is wrong here!

Serikali yangu ya CCM na suala la Gesi: Something is wrong here!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,410
Reaction score
14,119
Kulipuka kwa suala la gesi kama muitikio wa wananchi huko Mtwara na Lindi limeleta mshtuko kwa wananchi wa Tanzania kwa kiasi ambacho hatukuzoea kuona.

Mimi kama Mtanzania nasikitika sana kuona vile wananchi walivyochoma moto mali yao na waliyoitokea jasho kwa kulipia kodi.

Mbaya zaidi ni wale kina mama , Mama Anna Abdalla na Mama Kasembe kuchomewa nyumba zao na watu kwa sababu zisizojulikana.

Hii si Mtwara tunayoifahamu.
Je ni gesi tu? au kuna lingine nyuma ya pazia?

Gesi yenyewe kwa sasa hivi ni harufu tu, lakini tayari imelipuka hadi mitaani, ikipatikana na kuvunwa je itakuwaje?

Naamini Serikali sikivu ya CCM itakaa chini na kujiuliza maswali magumu na ni lazima ipate majibu ya kuwatuliza wananchi wa Mtwara/Lindi katika sakata hili.

Kwa kudodosa tu tujiulize imekuwaje mpaka leo barabara ya Somanga-Nyamwage haijakamilika na leo ni mwaka karibu wa tano au sita toka uanze , kwa kilometa 60 tu, wakati tunafungua kila siku barabara nyingine za km 100 ndani ya miaka 3.

Tusije tuka take things for granted.
 
Endelea kushangaa wakati meli ya ukombozi inakimbia kuliko spidi ya mwanga
 
Endelea kushangaa wakati meli ya ukombozi inakimbia kuliko spidi ya mwanga.
Kushangaa lazima tushangae maana na huo mshangao wala bado haujaisha>
Hebu tudokeze unahusika vipi mwakwetu?
Ni mjinga tu atajivunia kuchoma mchi yake.
 
BOB MARLEY lyrics - Ride Natty Ride

Eh, we got something they could never take away;
We got something they could never take away:

And it's the fire (fire), it's the fire (fire),
That's burning down everything:
Feel that fire (fire), the fire (fire)............
VURUGU+MTWARA+NA+MASASI+(2)_thumb%5B9%5D.jpg
VURUGU+MTWARA+NA+MASASI+(6)_thumb%5B8%5D.jpg


Nyumba ya Waziri Hawa Ghasia kushoto ikiwa imechomwa na nyumba ya Mwenyekiti wa CCM Mtwara wamevunja vioo.

'Cause now the fire is out of control, Panic in the city, wicked weeping for their gold!
Everywhere this fiyah is burning, Destroying and melting their gold,
Destroying and waisting their souls.............

Soma zaidi hapa: https://www.jamiiforums.com/entertainment/100286-nyimbo-za-reggae.html
 
Kwa namna moja suala la gesi linaweza kuwa mojawapo. Mgawanyo wa rasilimali za nchi. Serikali ingeweka mikakati maalumu ya kuhakikisha kila mahali panavutia kimaisha, kazi, elimu, miundombinu na huduma nyingine za kijamii.

Si vizuri na ni aibu kuona 80% ya mapato TRA inakusanya Dar! Ina maana eneo lote lililobaki ni chaka lisilokua na uzalishaji/pato lolote? Au tumekuwa kinchi kama Luxumborg na Vatican? Ni ulegevu wakutofanya mipango ya makusudi kuelekea maeneo mengine. Akili zimeganda Dar Dar Dar, laiti kama Ikulu ingehamia Dom rasmi na hilo jengo la mkoloni pale magogoni libaki kuwa meseum, naamini mawaziri wote wangehamia Dom, na mashirika binafsi pia na kwa kipindi kisichozidi miaka 10 supermarkets kubwa, barabara, na huduma nyingine zingekuwa nyingi sana Dom na maeneo mengine pia, na Dom kuwa hub fulani ya Tz, sio hii ya siasa uchwala. Kila Mbunge aidha ana nyumba, kiwanja na wachache wasio na hivyo wamepanga Dar! Sasa kila mtu hataki kutoka Dar (pamoja na hili limoto) ananaona kama haiwezekani bila Dar. Foleni kubwa ya kujitakia, sababu kila mtu anakimbilia walau kupata kitu kidogo, sababu maeneo mengine yame kuwaparalysed, na Dar ina money circulation kubwa mno ! Na sasa hivi kuna kichaa cha kuendelea ku accomodate huu haya! Mfano kujenga flyover n.k. Mbona Nigeria capital ipo Abuja na sio kwenye bandari kubwa kama PH ? Au Kenya Nairobi na sio Mombasa ?

Jamani taifa imara ni lile lenye mgawanyo walau unaoridhisha kwa maeneo mengi sio concentration kama ya Dar. Dar inaweza kuwa Mega city lakini ikiwa na majiji mengine katika kadhaa, na sio kwa mtindo huu wa akili za kushikiwa. Kila mtu kazi Dar, kila mwizi Dar, waganga wa kienyeji dar, malay dar, shule dar, biashara dar, starehe dar, mafisadi dar, nk.
 
BOB MARLEY lyrics - Ride Natty Ride

Eh, we got something they could never take away;
We got something they could never take away:

And it's the fire (fire), it's the fire (fire),
That's burning down everything:
Feel that fire (fire), the fire (fire)............
VURUGU+MTWARA+NA+MASASI+(2)_thumb%5B9%5D.jpg
VURUGU+MTWARA+NA+MASASI+(6)_thumb%5B8%5D.jpg


Nyumba ya Waziri Hawa Ghasia kushoto ikiwa imechomwa na nyumba ya Mwenyekiti wa CCM Mtwara wamevunja vioo.

'Cause now the fire is out of control, Panic in the city, wicked weeping for their gold!
Everywhere this fiyah is burning, Destroying and melting their gold,
Destroying and waisting their souls.............

Soma zaidi hapa: https://www.jamiiforums.com/entertainment/100286-nyimbo-za-reggae.html
Fires dont build, they destroy!
Even the arsonists dont gain that much, apart from reducing others to their own poverty.

Will somebody respect you, Because you caused him/her misery?
Fires burn, burn even their originators!
 
Fires dont build, they destroy!
Even the arsonists dont gain that much, apart from reducing others to their own poverty.

Will somebody respect you, Because you caused him/her misery?
Fires burn, burn even their originators!
We need to go to the cause of the problem, not to the effects!
 
[h=1]Si vis pacem, para bellum < = > If you wish for peace, prepare for war.[/h]
Fires dont build, they destroy!
Even the arsonists dont gain that much, apart from reducing others to their own poverty.

Will somebody respect you, Because you caused him/her misery?
Fires burn, burn even their originators!
 
Kulipuka kwa suala la gesi kama muitikio wa wananchi huko Mtwara na Lindi limeleta mshtuko kwa wananchi wa Tanzania kwa kiasi ambacho hatukuzoea kuona.

Mimi kama Mtanzania nasikitika sana kuona vile wananchi walivyochoma moto mali yao na waliyoitokea jasho kwa kulipia kodi.

Mbaya zaidi ni wale kina mama , Mama Anna Abdalla na Mama Kasembe kuchomewa nyumba zao na watu kwa sababu zisizojulikana.

Hii si Mtwara tunayoifahamu.
Je ni gesi tu? au kuna lingine nyuma ya pazia?

Gesi yenyewe kwa sasa hivi ni harufu tu, lakini tayari imelipuka hadi mitaani, ikipatikana na kuvunwa je itakuwaje?

Naamini Serikali sikivu ya CCM itakaa chini na kujiuliza maswali magumu na ni lazima ipate majibu ya kuwatuliza wananchi wa Mtwara/Lindi katika sakata hili.

Kwa kudodosa tu tujiulize imekuwaje mpaka leo barabara ya Somanga-Nyamwage haijakamilika na leo ni mwaka karibu wa tano au sita toka uanze , kwa kilometa 60 tu, wakati tunafungua kila siku barabara nyingine za km 100 ndani ya miaka 3.

Tusije tuka take things for granted.

kweli ubaya una mwisho

leo kwa mara ya kwanza tangu uzaliwe, umeongea pwenti
 
Yapo maswali wengine tunajiuliza kila siku lakini masopakyingi ziii! Labda moto wa Wanamtwara utamzindua lakini laiti angekuwa macho kama wengine, asingejiuliza hilo swali leo.
 
Last edited by a moderator:
Si vis pacem, para bellum < = > If you wish for peace, prepare for war.
Peace and development are two things that must complement each other, in states of tension you might have peace but not development.

Capital never appreciates tensions.

It is only the naive who think war counterblances peace!
 
Yapo maswali wengine tunajiuliza kila siku lakini masopakyingi ziii! Labda moto wa Wanamtwara utamzindua lakini laiti angekuwa macho kama wengine, asingejiuliza hilo swali leo.
Mkuu ndio maana nikauliza hili sakata ni gesi tu au kuna mkono wa mtu?

Lakini naamini kama kuna mkono wa mtu ni lazima mkono huo utajulikana tu.
 
Read and undertsand: Si vis pacem, para bellum < = > If you wish for peace, prepare for war.

I was thinking you are GT. If yes, then the sentence above is very simple.

Mwanaukweli wrote "We need to go to the cause of the problem, not to the effects!"

Peace and development are two things that must complement each other, in states of tension you might have peace but not development.

Capital never appreciates tensions. It is only the naive who think war counterblances peace!
 
kushangaa lazima tushangae maana na huo mshangao wala bado haujaisha>
hebu tudokeze unahusika vipi mwakwetu?
Ni mjinga tu atajivunia kuchoma mchi yake.
kaka ni kweli kuna tatizo la gesi mtwara lakini kinachosababisa kuharibiwa kwa mali za watu binafsi na serikali; ni muendelezo wa ile kampeni ya kuifanya nchi isitawalike iliyoanzishwa na chama fulani kikubwa nchini.
 
Back
Top Bottom