Serikali yamaliza uhakiki wa baadhi ya madeni inayodaiwa, kulipwa yote mwishoni mwa Oktoba, 2017

Unemployment ni janga la dunia, kila nchi ina changamoto hii, so acheni kudanganya watu kwa statistics ambazo ni obvious
Kila nchi ina resources zake hivyo basi kwa Tz sio factor ya ku justify kuwa eti...ni dunia nzima wakati productivity yetu kutokana na vague polices za ccm iko very low
 
Tanzania haijapata kuwa na Serikali ya kisanii kama hii ya awamu ya tano. Hawa ni kama Bongo movie ya comedy.
Sasa ukipinga hiyo comedy yao, basi wewe ni mchochezi.
 
Jambo hili ni la kweli nalazimika kuamini kutokana na juhudi kadhaa zinazoelekea kufanikisha hilo. Hongera JPM
Nitatoa hongera baada ya kuona yamelipwa maana awamu hii sarakasi zimekuwa nyingi sana. hata mleta mada nae anacheza sarakasi maana hajawa specific ni madeni gani? Kimsingi madeni ya serikali yetu pendwa ni mengi lzm tujue ni yapi yanayolipwa. Ya watumishi? Ya wazabuni? Ya mabenk? n.k
 
Unemployment ni janga la dunia, kila nchi ina changamoto hii, so acheni kudanganya watu kwa statistics ambazo ni obvious
Ni kweli ni janga la dunia, lakini hiyo siyo faraja kwetu kwani kila nchi itapambana na hali yake. Hakuna atakayekuja kutusaidia eti kwa vile ni janga la dunia.
 
Kila nchi ina resources zake hivyo basi kwa Tz sio factor ya ku justify kuwa eti...ni dunia nzima wakati productivity yetu kutokana na vague polices za ccm iko very low
Tuna sera nzuri mno ever, low productivity yetu kwa kiasi kikubwa inatokana na umaskini wetu as a nation and as individuals. Hii inapelekea uwekezaji duni kwenye resources tulizo nazo na hivyo kuzalisha ajira kidogo in return. Lakini kama nilivyosema awali ni changamoto ya nchi zote duniani, whether tajiri au maskini.
 
Ni kweli ni janga la dunia, lakini hiyo siyo faraja kwetu kwani kila nchi itapambana na hali yake. Hakuna atakayekuja kutusaidia eti kwa vile ni janga la dunia.
Sijasema ni faraja mkuu, nimesema ni janga la dunia na changamoto ya kila nchi. In other words, it's there to stay regardless which party is in power.
 
afazali hela iludi kwenye mzunguko

sio kwa style ya kuingiza bil50. na kuzitoa thru faini. za trafik. hapo ni sawa nakuweka pesa mfuko washati ukazitoa ukaziweka mfuko wa suruali.

ela nzuri ya kuchochea mzunguko ni ile unayoitoa and other things remain constant(kod/faini).
 
Pinga pinga Kama kawaida yenu
Kama serikali ingekuwa inataka kulipa madeni ingelipa kwanza harafu waje watangaze kwamba wamelipa ili tuhakikishe.

Na sio kila kitu serikali inacho fanya iwe inatangaza. kwa sababu kunakuwaga na kufail. kama hii inshu ya acacia serikali fasta ilikimbilia kwenye media kujitangazia ushindi harafu kesho yake haikujua itakuwaje.
 
Back
Top Bottom