mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
You are talking irrelevant low productivity inatokana vipi na umasikini?wakati una sera nzuri na implementable?Tuna sera nzuri mno ever, low productivity yetu kwa kiasi kikubwa inatokana na umaskini wetu as a nation and as individuals. Hii inapelekea uwekezaji duni kwenye resources tulizo nazo na hivyo kuzalisha ajira kidogo in return. Lakini kama nilivyosema awali ni changamoto ya nchi zote duniani, whether tajiri au maskini.