Ndiyo huyu aliyesema kuna walipa kodi milioni 3 tu kati ya Watanzania milioni 62!! Ok.
Yaani kodi tozo kwenye mafuta na miamala ya simu, kodi ya majengo kwenye mita za LUKU kila mwezi, nk. Zote hizo zinawagusa watu miliooni 3 pekee!! Ok.
Kila la heri kwake.