Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Manji alikuwa mjanja sana....alihakikisha hakuna ushahidi
ndo maana Magu kashindwa kumfunga
Huyu Mo ana mauchafu mengi....Magu akimshupalia tu anamfunga kirahisi
Salute kwako The Boss
Manji alikuwa mjanja sana....alihakikisha hakuna ushahidi
ndo maana Magu kashindwa kumfunga
Huyu Mo ana mauchafu mengi....Magu akimshupalia tu anamfunga kirahisi
Nimeamini maneno yakoMo dewji ni targeted kama walivyokua akina Manji ni suala la muda tuu
Nasisi tunawashangaa wasioihusisha sirkalySasa siwashangai wanaohusisha sirkali.
Taratiibu na mimi ndo naelewa sasa.Nasisi tunawashangaa wasioihusisha sirkaly
I agree. Naona jamaa alikuwa tishio ama kipingamizi flani kwa utawala huu. Kwanza nadhani walipishana sana kwenye issues za viwanda, sasa usije kuta wanadhani jamaa alikuwa anawasabotage kiaina. Kuna mengine hatuelezwi.Wametumia wazungu ili wasijulikane ni wao
I agree. Naona jamaa alikuwa tishio ama kipingamizi flani kwa utawala huu. Kwanza nadhani walipishana sana kwenye issues za viwanda, sasa usije kuta wanadhani jamaa alikuwa anawasabotage kiaina. Kuna mengine hatuelezwi.
Mo dewji ni targeted kama walivyokua akina Manji ni suala la muda tuu
Kabisa,hatutaki ujanjaujanja tenaHaiwezekani mtu mmoja amiliki ardhi kubwa tena ya kupewa na serikali alafu akaikopee pesa Bank bila ya kuiendeleza wakati maelfu ya wananchi wanaomzunguka hata bustani ya kulima mchicha hawana hilo halikubaliki kwa JPM
Utoto huo..