Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 358
Hata hili la Bandari, litafutiliwa mbali.Kupitia muswada wa marekebisho ya sheria ya fedha na kodi.
Kodi na Tozo ambazo si rafiki katika mazingira ya kibiashara zimeondolewa na kufutwa kabisa.
Kodi ya Store ni miongoni mwa kodi zilizoleta mtafaruku hadi kusababisha mgomo kwa wafanyabiashara wa mkoa wa kikodi Kariakoo.
Tozo nyingine zilizopendekezwa kuondolewa ni pamoja na Tozo za miamala pamoja na ushuru wa vitenge kupunguzwa.
Tunampongeza Rais Samia na serikali yake ameonyesha usikivu zaidi katika kuijenga nchi. Mama yuko kazini.
View attachment 2665413
Yaani ufungwe mikono upigwe kimakosa halafu aliyekupiga akufungue mikono akwambie kimbia useme hongera kwa kunipiga? Shazili mnali, bila shaka wewe pia ni mlamba asali.Hongela yake mama
Yaani ufungwe mikono upigwe kimakosa halafu aliyekupiga akufungue mikono akwambie kimbia useme hongera kwa kunipiga? Shazili mnali, bila shaka wewe pia ni mlamba asali.
Hongera kwa waziri mkuuHongela yake mama
Walizotaka zimeshatimiaYaani serikali iliyoweka tozo,tukapiga kelele Waziri wa fedha akatujibu tuamie Burundi, Leo hii anaifuta nasimama popote nilipo kumpigia makofi?
Yaani mtengeneze tatzo wenyewe alafu mlitatue alafu tuwasifie?
Alafu mbona taarifa za Tozo zimeachwa kutolewa au ndio kusema tushapigwa? 😢😢Yaani serikali iliyoweka tozo,tukapiga kelele Waziri wa fedha akatujibu tuamie Burundi, Leo hii anaifuta nasimama popote nilipo kumpigia makofi?
Yaani mtengeneze tatzo wenyewe alafu mlitatue alafu tuwasifie?
Kwani ni serikali ya chama gan ilitengeneza hili tatizo? Utafikir ni serikali ya CDM ilitengeneza hili tatizo na serikali ya CCM ikaja kulitatua na kupongezwa!!!!Tunampongeza Rais Samia na serikali yake ameonyesha usikivu zaidi katika kuijenga nchi. Mama yuko kazini
Watu wana akili ya ajabu wakotayari kupigana ili mwenyekiti wa kijiji apate uongozi lkn ukiwambia tumpiganie flani apate urais watakwambia huyo hatuhusu.Yaani ufungwe mikono upigwe kimakosa halafu aliyekupiga akufungue mikono akwambie kimbia useme hongera kwa kunipiga? Shazili mnali, bila shaka wewe pia ni mlamba asali.
Mwingulu akikaa na kamishna wa TRA kwenye kitengo cha sera na kodi waje tena kodi nyingine ili elekezi ili kuongeza mapato ya V8Kupitia muswada wa marekebisho ya sheria ya fedha na kodi.
Kodi na Tozo ambazo si rafiki katika mazingira ya kibiashara zimeondolewa na kufutwa kabisa.
Kodi ya Store ni miongoni mwa kodi zilizoleta mtafaruku hadi kusababisha mgomo kwa wafanyabiashara wa mkoa wa kikodi Kariakoo.
Tozo nyingine zilizopendekezwa kuondolewa ni pamoja na Tozo za miamala pamoja na ushuru wa vitenge kupunguzwa.
Tunampongeza Rais Samia na serikali yake ameonyesha usikivu zaidi katika kuijenga nchi. Mama yuko kazini.
Pia soma
- Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
- UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa
- Mgomo wa Kariakoo; Serikali Iwasikilize Wafanyabiashara
- Mwendelezo wa Mgomo, Kiongozi wa Wafanyabiashara Kariakoo adai kuna kikundi kina maslahi binafsi
- Waziri Mkuu Majaliwa aibukia Kariakoo, azungumza na wa fanyabiashara
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afika Kariakoo. Aagiza task force za TRA kusitisha shughuli zake haraka
Hatuna waziri wa fedha. Ana fanya mambo kwa kubahatisha. Sasa tozo ime pelekwa kwenye mafuta ya magariKupitia muswada wa marekebisho ya sheria ya fedha na kodi.
Kodi na Tozo ambazo si rafiki katika mazingira ya kibiashara zimeondolewa na kufutwa kabisa.
Kodi ya Store ni miongoni mwa kodi zilizoleta mtafaruku hadi kusababisha mgomo kwa wafanyabiashara wa mkoa wa kikodi Kariakoo.
Tozo nyingine zilizopendekezwa kuondolewa ni pamoja na Tozo za miamala pamoja na ushuru wa vitenge kupunguzwa.
Tunampongeza Rais Samia na serikali yake ameonyesha usikivu zaidi katika kuijenga nchi. Mama yuko kazini.
Pia soma
- Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
- UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa
- Mgomo wa Kariakoo; Serikali Iwasikilize Wafanyabiashara
- Mwendelezo wa Mgomo, Kiongozi wa Wafanyabiashara Kariakoo adai kuna kikundi kina maslahi binafsi
- Waziri Mkuu Majaliwa aibukia Kariakoo, azungumza na wa fanyabiashara
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afika Kariakoo. Aagiza task force za TRA kusitisha shughuli zake haraka