Serikali yafilisika? Yatelekeza wanafunzi wa vyuo vikuu

Serikali yafilisika? Yatelekeza wanafunzi wa vyuo vikuu

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,852
Serikali imefilisika ambapo inadaiwa kuwa hazina haina kitu kitendo kilichosababisha bodi ya mikopo kushindwa kuwapa pesa wanafunzi waliopo kwenye mafunzo kwa vitendo.
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Hapa umekosea na kama ni tatizo la chuo chako au fani yako jiangalie. Nafikiri fanya uchunguzi zaidi. Mbona SUA wameanza Field practicals na pesa wamepata? Who are you? a student?
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Hapa umekosea na kama ni tatizo la chuo chako au fani yako jiangalie. Nafikiri fanya uchunguzi zaidi. Mbona SUA wameanza Field practicals na pesa wamepata? Who are you? a student?

Kuna vyuo vingi sana havijapata pesa kama SUA wamepata usifikri vyuo vyote wamepata.
 
Kwa hiyo hiyo serikali ndiyo mnataka kuirudisha madarakani tena?
 
Serikali kweli haina hela maana wanachuo walioko field hawajapata FEDHA wiki ya pili sasa.
 
Serikali imefilisika ambapo inadaiwa kuwa hazina haina kitu kitendo kilichosababisha bodi ya mikopo kushindwa kuwapa pesa wanafunzi waliopo kwenye mafunzo kwa vitendo.

Serikali sikivu.
 
Hali sio shwari pesa nyingi ni kwa ajili ya kulipa viinua mgongo vya wabunge waliomaliza muda wao.,kugaramia uboreshaji wa daftari la wapiga kura na maandalizi mengine ya uchaguzi ujao mf kununua magari ya maji ya washawasha kwa ajili ya watakao kataa kutii bila shuruti.vijisenti vilivyobaki kupooza hasira za watumishi kwa kuwarashia nyongeza kidogo kwenye mishahara yao..!
 
Kati ya college 93 ,ni college 8 tu ndo zimepata,Smmuco sisi Leo tupo bodi ya Mikopo hapa mpaka kielewwke
 
Umejiandikisha? Matatizo yako yatapata ufumbuzi ukiitumia kura yako vizuri.
 
Kwa mtindo huu wanachuo watapiga kura ya hasira dhidi ya CCM.
 
Hata wakandarasi wanao tekeleza ilani ya ccm hawalipwi kabisa.....miezi 9 sasa.... hazina imekauka..... mtu mmoja wa hazina alisema hajawahi kuona hazina imeishiwa kiasi hiki kwa kipindi cha miaka 18 iliyo pita....
 
hata wanafunzi wakipiga kura za hasira dhidi ya ccm wako watakaopatikana na safarii hii hatutumii gia ya mahakama ya kadhi tunanjia nyingine
 
ni aibu kwa kweli hata mm nina kijana hapa wa chuo kikuu kwangu hawajapata fedha za industrial training, VASCO DAGAMA kapangusa kila kitu hazina kuwapa wabunge fedha za campain na yy kuweka hazina yake maana anataka akabidhi office haina hata sent wakati yy Mkapa alimuachia mpunga wa kutosha hadi akawa haamini macho yake, yy leo mzigo wote kampa RZ 1 atunze kwa matumizi hadi anakwenda kule na vitukuu
 
Vumilieni Kidogo October Sio Mbali Machozi Yenu Yatafutwa, Na Kuambiwa Poleni Kwa Matatizo Yote Yaliyowakuta,
 
Back
Top Bottom