Serikali yaanza ujenzi wa njia ya umeme wa Gridi ya Kimataifa, kuunganisha nchi zaidi ya nne

diana chumbikino

JF-Expert Member
May 29, 2018
428
368
Serikali imeanza ujenzi wa njia ya umeme wa Gridi ya Kimataifa ambao utaunganisha Tanzania na mataifa mbalimbali ya Afrika ikiwemo Zambia, Kenya,Malawi na Botswana ambapo mradi huo unatarajiwa kutumia zaidi ya bilioni 600 hadi kukamilika kwake mwezi june 2020.
 
Wapingaji hawatakosekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani umeme uliopo tu hautoshelezi mahitaji umeme sasa hivi unakatika asikwambie mtu sijui kuna mgawo wa sirisiri na hili si kwa daresalama tu ni almost mikoa yote.
.
Sasa unataka tusipinge tujionyenye tunaweza kuhudumia nchi zingine wakati ndani tu pametushinda si ujinga wa hali ya juu huo.
.
Ni sawa na ukasaidie watoto yatima wakati wako ndani wanalala njaa shubahamit
 
Back
Top Bottom