GIB
JF-Expert Member
- Mar 2, 2012
- 336
- 92
Kuna mjadala uliokuwa hapa jf ukihusisha Tanzania kunyimwa misaada kutoka kwa cammeron (PM ), pia leo huo mjadala unaendelea.
Lakini Nipashe ya leo tar 22/3 yaonesha Tanzania imepewa msaada wa mabilioni ya pesa je kulikoni?
soma hii habari kisha ,utafakari
Uingereza yaipa Tanzania Sh. bil. 69.5 kusaidia huduma ya maji vijijini
Na Mwandishi wetu
22nd March 2012
Tanzania imepokea Sh. bilioni 69.5 kutoka Serikali ya Uingereza kwa ajili ya kusaidia kuimarisa huduma ya maji vijijini pamoja na utunzaji wa mazingira bora katika kipindi cha miaka minne ijayo.
Msaada huo utawanufaisha zaidi wa wakazi 650,000 watakaopata huduma ya maji safi, na zaidi ya wakazi 160,000 katika kuimarisha huduma ya vyoo hasa kwa wakazi wanaoishi vijijini.
Akizungumza katika makabidhiano hayo, Mkurugenzi wa asasi ya DFID Tanzania, Marshall Elliot, alisema upatikanaji wa huduma ya maji ni muhimu katika maisha ya mwanadamu hasa katika afya, elimu na kipato.
CHANZO: NIPASHE
Lakini Nipashe ya leo tar 22/3 yaonesha Tanzania imepewa msaada wa mabilioni ya pesa je kulikoni?
soma hii habari kisha ,utafakari
Uingereza yaipa Tanzania Sh. bil. 69.5 kusaidia huduma ya maji vijijini
Na Mwandishi wetu
22nd March 2012
Tanzania imepokea Sh. bilioni 69.5 kutoka Serikali ya Uingereza kwa ajili ya kusaidia kuimarisa huduma ya maji vijijini pamoja na utunzaji wa mazingira bora katika kipindi cha miaka minne ijayo.
Msaada huo utawanufaisha zaidi wa wakazi 650,000 watakaopata huduma ya maji safi, na zaidi ya wakazi 160,000 katika kuimarisha huduma ya vyoo hasa kwa wakazi wanaoishi vijijini.
Akizungumza katika makabidhiano hayo, Mkurugenzi wa asasi ya DFID Tanzania, Marshall Elliot, alisema upatikanaji wa huduma ya maji ni muhimu katika maisha ya mwanadamu hasa katika afya, elimu na kipato.
CHANZO: NIPASHE