Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Serikali ya Tanzania imesema ipo kwenye hatua za awali za mazungumzo na Serikali ya Ujerumani kuona jinsi itakavyofaidika na mapato yatokanayo na utalii kupitia mabaki ya Mjusi mkubwa ‘’Dinosaurs " ambaye ni kivutio cha kikubwa cha utalii katika jumba la Makumbusho nchini Ujerumani.
Mjusi huyo kwa jina la kitaalamu anaitwa Dinosaur ambapo mabaki yake yalivumbuliwa miaka 100 iliyopita katika eneo la Tendaguru mkoani Lindi, yalikusanywa na kupelekwa nchini Ujerumani ambako wataalamu waliyaunda na kisha kuyaweka kwenye Makumbusho hiyo.
Amesema lengo la mazungumzo hayo ni kutaka kujua kiasi gani cha mapato yanayokusanywa na namna gani wanavyoweza kugawana mapato hayo yatokanayo na watalii kupitia mjusi huyo baina ya Serikali hizo mbili.
Pia soma
>Mjusi wa Tanzania nchini Ujerumani - Balozi wa utalii
>Germany Will Return 'Dinosaur' Remains To Tanzania
>Mnyama Mkubwa Zaidi Aliyewahi Kuishi Duniani aligundulika Tanzania mkoa wa Lindi
>Serikali: Hakuna tija kuwarudisha 'mijusi mikubwa' toka Ujerumani
>Serikali ingepata Sh3.2 Billion kama ingeliweza kurudisha mjusi wake!
Mjusi huyo kwa jina la kitaalamu anaitwa Dinosaur ambapo mabaki yake yalivumbuliwa miaka 100 iliyopita katika eneo la Tendaguru mkoani Lindi, yalikusanywa na kupelekwa nchini Ujerumani ambako wataalamu waliyaunda na kisha kuyaweka kwenye Makumbusho hiyo.
Amesema lengo la mazungumzo hayo ni kutaka kujua kiasi gani cha mapato yanayokusanywa na namna gani wanavyoweza kugawana mapato hayo yatokanayo na watalii kupitia mjusi huyo baina ya Serikali hizo mbili.
Pia soma
>Mjusi wa Tanzania nchini Ujerumani - Balozi wa utalii
>Germany Will Return 'Dinosaur' Remains To Tanzania
>Mnyama Mkubwa Zaidi Aliyewahi Kuishi Duniani aligundulika Tanzania mkoa wa Lindi
>Serikali: Hakuna tija kuwarudisha 'mijusi mikubwa' toka Ujerumani
>Serikali ingepata Sh3.2 Billion kama ingeliweza kurudisha mjusi wake!