Tanzania kama Tanzania to me hakuna mfano wako....imeja kila aina ya neema na upendeleo wa kila aina toka kwa Mungu! Ina mito mingi sana, maziwa mengi, bahari, milima, mbuga za wanyama, ardhi yenye rutuba, madini ya kila aina etc!
1. Hivi uliona nchi gani shirika limebinafishwa lakini linapewa pesa na serikali, Mfano TRL(Shirka la Reli) ina management(Uongozi) wahindi 14 na hamna wanachokifanya then mnawapa Bil 45 za nini?? Wizi tu hapa na me nasema ipo siku, Huyu JK ameshindwa NCHI ajihuzulu
Jamani nasikitika kwa kusema nchi yetu haina uongozi coz umejaa rushwa na ubinafsi, Kwa nini nasema hivyo:
1. Hivi uliona nchi gani shirika limebinafishwa lakini linapewa pesa na serikali, Mfano TRL(Shirka la Reli) ina management(Uongozi) wahindi 14 na hamna wanachokifanya then mnawapa Bil 45 za nini?? Wizi tu hapa na me nasema ipo siku, Huyu JK ameshindwa NCHI ajihuzulu
2. Pili TICTS inatuingizia hasara, Kwa nini wanaikumbatia?? Kuna nini hapo???
Sasa Rwanda, Burundi na Congo wamehamia bandari ya Mombasa ajili ya UPUMBAVU WA VIONGOZI WETU, Huyu Rais wetu yupo makini kweli au amelishwa nini??
3. Nchi hii na wabunge wote wa CCM kutoa wachache tu ni makini mengine yako bungeni kupokea posho tu, WATZ TUAMKENI, we kama unakatwa kodi kwenye mshahara wako, unalipia shule za kata, unachangia uchafu nyumbani kwako, Unalipia bill ya UMEME, unalipia MAJI, unalipia kodi ya GARI LAKO, unalipia kodi ya DUKA LAKO AU OFFICE YAKO, Je kuna umhmu wa wa wewe au mimi kuendelea kutetea hawa viongozi hawana huruma, HUYU JK HANA WASHAURI WA UCHUMI, Tafakari
4. TAASISI DINI nani kasema zinarushwa?? Serikali, Kwa nini wasikamatwe?? Hiyo DECI miaka 3 nchini ipo WALIKUWA WAPI kama viongozi???
Je hospitali ngapi ni za taasisi za dini kusini, kanda ya ziwa, Kaskazini na sehemu zingine. Mfano Kaskazini huduma nyingi za afya ni za mashirika ya DINI.
Je hili mnalionaje ?? I am hating kuwa na viongozi hawana upeo wa akili na maamuzi yenye kuleta Tija na maendeleo nchini.
TOA MAONI YAKO
Jamani nasikitika kwa kusema nchi yetu haina uongozi coz umejaa rushwa na ubinafsi, Kwa nini nasema hivyo:
1. Hivi uliona nchi gani shirika limebinafishwa lakini linapewa pesa na serikali, Mfano TRL(Shirka la Reli) ina management(Uongozi) wahindi 14 na hamna wanachokifanya then mnawapa Bil 45 za nini?? Wizi tu hapa na me nasema ipo siku, Huyu JK ameshindwa NCHI ajihuzulu
2. Pili TICTS inatuingizia hasara, Kwa nini wanaikumbatia?? Kuna nini hapo???
Sasa Rwanda, Burundi na Congo wamehamia bandari ya Mombasa ajili ya UPUMBAVU WA VIONGOZI WETU, Huyu Rais wetu yupo makini kweli au amelishwa nini??
3. Nchi hii na wabunge wote wa CCM kutoa wachache tu ni makini mengine yako bungeni kupokea posho tu, WATZ TUAMKENI, we kama unakatwa kodi kwenye mshahara wako, unalipia shule za kata, unachangia uchafu nyumbani kwako, Unalipia bill ya UMEME, unalipia MAJI, unalipia kodi ya GARI LAKO, unalipia kodi ya DUKA LAKO AU OFFICE YAKO, Je kuna umhmu wa wa wewe au mimi kuendelea kutetea hawa viongozi hawana huruma, HUYU JK HANA WASHAURI WA UCHUMI, Tafakari
4. TAASISI DINI nani kasema zinarushwa?? Serikali, Kwa nini wasikamatwe?? Hiyo DECI miaka 3 nchini ipo WALIKUWA WAPI kama viongozi???
Je hospitali ngapi ni za taasisi za dini kusini, kanda ya ziwa, Kaskazini na sehemu zingine. Mfano Kaskazini huduma nyingi za afya ni za mashirika ya DINI.
Je hili mnalionaje ?? I am hating kuwa na viongozi hawana upeo wa akili na maamuzi yenye kuleta Tija na maendeleo nchini.
TOA MAONI YAKO
This is my country.....
Yes you are WOS......but......see my comments below!
Hivi vipaji vyote vimetusaidia vipi?
As of now nothing... WOS...!
Ila naweza sema huu utajiri umetusaidia kuamsha harakati za ukombozi wa kweli ili hatimaye urithi huo tuliopewa na Mungu utusaidia kututoa tutoka katika dimbwi kubwa la umaskini to The Next Level!''The heaven of Africa''
Kwa sasa ni watu wachache sana tena wengine hata si watanzania ndio haswa wanaofaidika na mema ya nchi yetu......inaniuma sana!
Nani wa kulaumiwa?
Ha!ha!....Wos Good question!
Wakwanza najilaumu mimi mwenyewe..... kwa sababu najiona kabisa sijaifanyia nchi hii lolote la maana.....japokuwa na mimi bi mojawapo nilofaidika na pesa za walipa kodi kule University! Angalia now, harakati zangu naziendesha hapa JF tena nyuma ya screen nikiopwa sijiui kuonwa vile....true kabisa najiona kabisa wakulaumiwa! Ningetamani niwe kama njiwa vile nikaruka mpaka pale mitaa ya Jangwani,Lumbila, Inio, Kidegembye, Busanda, KG etc nikusanye raia na kuwashushia nondo hizi juu ya HAKI YA MTANZANIA KWENYE RASIRIMALI ZA TANZANIA.....! bt I can't for now kwa sababu nyingi sana!
Pili nawalaumu watanzania wote wanapata fursa ya kufanya mabadiliko ya uongozi katika ngazi mbalimbali kushindwa kutumia fursa hizo vizuri either kwa kuto shiriki uchaguzi au kwa kukubali kupokea rushwa ya nyama, pombe, t shirt etc ambavyo kny utajiri wa nchi hii ni kama a molecule baharini!
Tatu nawalaumu wale wachache walipata kuaminiwa na watanzania wachache kushika nyadhifa mbalimbali, wakawasaliti na kugeuza nyadhifa hizo mitaji ya biashara na ofisi za umma kugeuzwa mahala pa kufanyia biashara.....''Wamegeuza nyumba ya baba yangu mahala pa biashara......Jesus''. Nawalaumu sana!
Mimi kusema ukweli nalia na wasomi wa nchi hii hasa walio katika vyuo vyetu vikuu maana hao ndio chachu ya mapinduzi ya kweli sehemu yoyote duniani lakini hapa kwetu wasomi wetu wanakubali kupelekwa kama gari bovu.
Kuna nchi nyingi ambazo mapinduzi (yaani mabadiliko ya kiuchumi,kijamii,kiutamaduni na kisiasa) yamefanikiwa kwa uongozi wa wasomi wao walio vyuoni, sasa hapa kwetu jambo hilo linaonekana gumu.WASOMI MPOOOO!!!!?????
Lakini ukumbuke serikali ilivyo sema inaleta strategic investor ilisema haina hela na haiwe kuendelea kuwekeza kwenye mfuko uliotoboka, yyani wanawekeza lakini hakuna tija, sasa hizo fedha za kukopesha au kuwekeza kwa wahindi zimetoka wapi? ni yale yale ya ATC na SAA, Ya Alliance Air nkIdumu,
Mambo mengi umerudia yaliyokwisha jadiliwa ila nisemee moja tu!... Tanzania Railway Limited ni kampuni inayomilikiwa kati ya Governement of Tanzania na RITE (shirika la reli la india, strategic investor according to walamali).
Sasa ndugu unatakiwa kuelewa yafuatayo... huenda billion 45 zimekopwa... na TRL, hivyo ni hela zinaenda kuingia kwenye vitabu vya TRL... nadhani serikali inatoa dhamana tu...
Pili namna nyingine ya ku-bail out ni serikali kuongeza hisa zake TRL na baadaye huenda TRL kurudi kuwa mali ya serikali.
Nilidhani niweke hiyo wazi kidogo kwa faida yetu wote.
Ulevi mtupu
Mimi kusema ukweli nalia na wasomi wa nchi hii hasa walio katika vyuo vyetu vikuu maana hao ndio chachu ya mapinduzi ya kweli sehemu yoyote duniani lakini hapa kwetu wasomi wetu wanakubali kupelekwa kama gari bovu.