assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
SERIKALI YA TANZANIA HAINA DINI
1. Hakuna uhuru wa kuchinja
2. Kwanini kuna ubalozi wa VATICAN wakati Tanzania haina dini
3.kwanini kuna MOU kwa kundi moja na kuacha kundi jingine
4. kwanini takwimu za kisensa zisitambue wananchi wake pamoja na dini zao
Tunaomba katiba ibadilishwe kwani ina mapungufu