CHADEMA Mmeishiwa mbinu? Serikali haina dini na haitaongozwa kwa misingi ya dini

CHADEMA Mmeishiwa mbinu? Serikali haina dini na haitaongozwa kwa misingi ya dini

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,829
Naona aibu sana kuona chama ambacho kilikuwa kwenye ubora wa kipekee miaka kadhaa nyuma sasa kimeporomoka na kufanya vitu visivyoeleweka.

Serikali haina dini japo watu wake ni waamini wa dini mbalimbali.
 
Dini imetokea wapi? Maana naona kila mwanaccm anaongea la kwake.
Watu wa CCM wao ndiyo vinara wa kueneza Propaganda za udini na ukabila... Sasa wanataka kuonesha kuwa Samia anashambuliwa kutokana na Uislamu wake.

Kwani wakati Lissu anapigwa risasi Magufuli alikuwa ni Muislamu? Mbona CHADEMA ilikuwa inamkosoa kila uchao na uchwao?
 
Naona aibu sana kuona chama ambacho kilikuwa kwenye ubora wa kipekee miaka kadhaa nyuma sasa kimeporomoka na kufanya vitu visivyoeleweka.

Serikali haina dini japo watu wake ni waamini wa dini mbalimbali.
Wakati Magufuli akiwa madarakani kila alipoenda alikuwa anasalimia salamu ya kikristo na kiisilamu, je ile ilimaanisha serekali inaendeshwa kidini?
 
Naona aibu sana kuona chama ambacho kilikuwa kwenye ubora wa kipekee miaka kadhaa nyuma sasa kimeporomoka na kufanya vitu visivyoeleweka.

Serikali haina dini japo watu wake ni waamini wa dini mbalimbali.
Chama kikichoporomoka kinaandamwa nakuogopwa? Akili mtu wangu


No reform No Election
 
Wakati Magufuli akiwa madarakani kila alipoenda alikuwa anasalimia salamu ya kikristo na kiisilamu, je ile ilimaanisha serekali inaendeshwa kidini?
kwa hiyo mmeanza kuiga mbinu za Magufuli?
 
Naona aibu sana kuona chama ambacho kilikuwa kwenye ubora wa kipekee miaka kadhaa nyuma sasa kimeporomoka na kufanya vitu visivyoeleweka.

Serikali haina dini japo watu wake ni waamini wa dini mbalimbali.
Screenshot_20250729-090555~2.png
 
Naona aibu sana kuona chama ambacho kilikuwa kwenye ubora wa kipekee miaka kadhaa nyuma sasa kimeporomoka na kufanya vitu visivyoeleweka.

Serikali haina dini japo watu wake ni waamini wa dini mbalimbali.
Kama serikali haina dini kwann imevunja na kufunga makanisa ya gwajima badala ya kushughulika na gwajima mwenyewe?
Unajua kwamba BAKWATA ni mkono wa pili wa serikali? Unamjua mufti halindwi kama kiongozi wa dini bali kama kiongozi wa serikali??? Analindwa na TISS . Wapi kwenye uislam kuna TISS.?
Us8fikiri wote hatuna akili kama wewe
 
Watu wa CCM wao ndiyo vinara wa kueneza Propaganda za udini na ukabila... Sasa wanataka kuonesha kuwa Samia anashambuliwa kutokana na Uislamu wake.

Kwani wakati Lissu anapigwa risasi Magufuli alikuwa ni Muislamu? Mbona CHADEMA ilikuwa inamkosoa kila uchao na uchwao?

Wajinga Sana CCM wakati CHADEMA wakimkosoa Magufuli waliitwa ni chama Cha Mabeberu ila Sasa wanamkosoa huyu Samiah wanaitwa chama Cha kidini.
 
Sikuzote wachawi wauwaji wezi mafisadi waongo majambazi wazinzi watekaji wadhulumati washirikina na matapeli na viongozi uchwara HUOGOPA SALA/MAOMBI... Kwasababu Mungu husikiliza sala za wenye haki na hutoa adhabu
 
Naona aibu sana kuona chama ambacho kilikuwa kwenye ubora wa kipekee miaka kadhaa nyuma sasa kimeporomoka na kufanya vitu visivyoeleweka.

Serikali haina dini japo watu wake ni waamini wa dini mbalimbali.
Kwa nini mnaalika viongozi wa dini kumuombea Rais/ nchi?
Kwa nini Rais Magufuli wakati wa Covid19 aliomba watu waiombee nchi kwa siku tatu ili kupambana na Covid19? Jifunze kumuheshimu Mungu siku,yeye ni zaidi ya wanadamu na hao viongozi unaojidanya wameshika akili kama mungu wako.
Serikali inaundwa na wanadamu kama wewe.
 
Back
Top Bottom