rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,008
- 25,623
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya ITV serikali ya Rwanda imeshusha bei ya mafuta hadi faranga 1000 baada ya bei hiyo kushuka kwenye soko la dunia.
Sisi tutasubiri mpaka EWURA wakae na siasa zipigwe ndio utasikia bei inashuka na bei ikishuka itaambatana na uhaba wa mafuta
Pamoja na rais wao kutuhumiwa kwa udikteta lakini Kagame amezidi kuwa rais wa mfano.
Sisi tutasubiri mpaka EWURA wakae na siasa zipigwe ndio utasikia bei inashuka na bei ikishuka itaambatana na uhaba wa mafuta
Pamoja na rais wao kutuhumiwa kwa udikteta lakini Kagame amezidi kuwa rais wa mfano.