Serikali ya mseto tanzania?

Kadogoo

JF-Expert Member
Feb 26, 2007
2,073
341
Kwanza nachukua nafasi hii kumpongeza mheshimiwa jakaya mrisho kikwete na chama chake kwa kushinda uchaguzi pamoja na kuwa na kasoro za hapa na pale ambazo ningeshangaa sana kama zingekosekana maana hata marekani na uingereza chaguzi zao hazikosi kasoro!

Pili namuomba slaa na chama chake wakubali matokeo na kuwaheshimu wa tz waliomchagua kikwete na ccm na kuweka kando ushabiki wa kisiasa kwa manufaa ya taifa letu!

Tatu, nakushauri rais wetu uweke u-ccm nyuma na unda serikali inayojumuisha wapinzani ikiwa katiba yetu inaruhusu ili kujenga umoja wa kitaifa na kuchochea maendeleo!

Mwisho, ili kudhibiti matumizi ya serikali nakushauri uunde serikali yenye wizara kama hizi:

1 waziri mkuu
2 wizara ya mambo ya nje na jumuia ya ea
3 wizara ya fedha na uchumi
4 wizara ya ulinzi
5 wizara ya sheria na katiba (futa wizara ya mambo ya ndani)
6 wizara ya elimu
7 wizara ya kilimo,uvuvi na mifugo
8 wizara ya afya na mazingira
9 mali asili na utalii (hii inajumuisha na madini)
10 wanawake na watoto

ama kuhusu wizara ya michezo, utamaduni, habari nk. Naona hakuna haja za kuziundia wizara bali unaweza kuziweka zikawa chini ya wizara zingine! Halafu ikulu inayo msemaji wake sasa kuna haja gani ya kuwa na waziri wa habari? Ni mzigo kwa wananchi kuwa wizara nyingi ambazo hazina tija kwa taifa!!!!

Natanguliza hongera kwa ushindi lakini kwa hakika huu ni ushindi wa wananchi na tuache ubinafsi wa kusema ni ushindi wa ccm!!!!!
 
@ MTANZANIA KWANZA

Ulianza vibaya ukarekebisha ukamaliza vibaya,

Kutoa pongezi kwa mwizi umekosea kabaisa, Kiukweli kabaisaba mkweri hakushinda,
kuna watanzania watao milioni 45, waliojandisha 20 milion wenye sifa ya kupiga kura Milioni 19 katai ya ho ukiweka Utanzania wako inamaanisha milioni 14 kati ya wenye sifa hawamtaki Mkwere sawa? xoz yeye alishinda kwa kura milion 5 sawa na kama asilimia 42 ya watanzania so 58 hawakumtaka pongezi zako si za uzarendo kabisa.

Pili hiyo tume hiliyompa ushindi kaunda yeye mwenyewe so aliandaliwa ushindi mapema usifananishe na marekani ambapo nguvu ya umma inaeshimika na uamalekani kwanza, vyama baadae

Tatu, Kiukweli viongozi wengi wa ccm hawana uzalendo kabisa, uweziukaiba kura ukajiita mzalendo unajua madhara yake? sijafurahia Slaa kukataa matokea lakini kuna hoja za msingi za kukataa kwa maslai ya taifa, wemeiba kikweli kweli rafiki yangu sisi tunaona wazi kabisa sijafurahia kabisa kwenye ujenzi wa taiafa la kidemokrasia mara nyingi uwizi uchangia kubomoa demokrasia. so kuusu serikari ya mseto sahau hili labda mbaka damu imwagike kama zimbabwe na kenya hivi, but hatutaiki kufikia huko kabaisa wangu.

Hoja yako ya msingi sana lakini haitekelezeki kabisa ndugu yangu , umoja wa ulaya umesifia coz wana interest zao kuna ureniam umegunduliwa HAPA TZ WATAIPATAJE BILI KUSIFIA MAOVU NA UWIZI?
 
Kwanza nachukua nafasi hii kumpongeza mheshimiwa jakaya mrisho kikwete na chama chake kwa kushinda uchaguzi pamoja na kuwa na kasoro za hapa na pale ambazo ningeshangaa sana kama zingekosekana maana hata marekani na uingereza chaguzi zao hazikosi kasoro!

Pili namuomba slaa na chama chake wakubali matokeo na kuwaheshimu wa tz waliomchagua kikwete na ccm na kuweka kando ushabiki wa kisiasa kwa manufaa ya taifa letu!

Tatu, nakushauri rais wetu uweke u-ccm nyuma na unda serikali inayojumuisha wapinzani ikiwa katiba yetu inaruhusu ili kujenga umoja wa kitaifa na kuchochea maendeleo!

Mwisho, ili kudhibiti matumizi ya serikali nakushauri uunde serikali yenye wizara kama hizi:

1 waziri mkuu
2 wizara ya mambo ya nje na jumuia ya ea
3 wizara ya fedha na uchumi
4 wizara ya ulinzi
5 wizara ya sheria na katiba (futa wizara ya mambo ya ndani)
6 wizara ya elimu
7 wizara ya kilimo,uvuvi na mifugo
8 wizara ya afya na mazingira
9 mali asili na utalii (hii inajumuisha na madini)
10 wanawake na watoto

ama kuhusu wizara ya michezo, utamaduni, habari nk. Naona hakuna haja za kuziundia wizara bali unaweza kuziweka zikawa chini ya wizara zingine! Halafu ikulu inayo msemaji wake sasa kuna haja gani ya kuwa na waziri wa habari? Ni mzigo kwa wananchi kuwa wizara nyingi ambazo hazina tija kwa taifa!!!!

Natanguliza hongera kwa ushindi lakini kwa hakika huu ni ushindi wa wananchi na tuache ubinafsi wa kusema ni ushindi wa ccm!!!!!

umesahau wizara muhimu;
-nishati na madini
-miundo mbinu/mawasialno
-ardhi
-ustawi wa jamii??
 
umesahau wizara muhimu;
-nishati na madini
-miundo mbinu/mawasialno
-ardhi
-ustawi wa jamii??

ASANTE NDUGU KWA KUNIKUMBUSHA, ARHI NA MAWASILIANO IWE NI WIZARA MOJA! USTAWI WAJAMII IWEKO KTK WIZARA YA WANAWAKE NA WATOTO! AMA KUHUSU MADINI SOMA POST YANGU YA KWANZA MADINI IKO KTK WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWASABABU MADINI NI SEHEMU YA MALI ASILI!




a
 
Back
Top Bottom