Serikali ya Kenya yashindwa kulipa mishahara, Madaktari watishia kuanza mgomo

Ingekuwa Tanzania citizen TV ingefungiwa Kwa uchochezi na uhujumu uchumi
Haibadilishi ukweli kwamba Kenya madaktari wanakufa kwa wingi kwa kukosa vifaa vya kujikinga na mishahara wakati serikali imekopa pesa nyingi za kupambana na Corona lakini zote zimeibiwa na wakikuyu

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kenya what the problem..?
Misimamo yao imeanza kuwashinda sasa, tulikuwa tukipiga kelele humu kuwa kutangaza tu wagonjwa sio solution watu wakatuona kama makomamanga!.. haya lockdown yao wamekuja ifungua wakati wagonjwa wapo wengi zaidi!! Napo tuseme akili ni nini..?
My Tanzania still a great national upande huu wa east Africa.. wachache tu ndo wanakuwa namidomo ya chiriku kutaka tuige tu utafikiri mindondocha.. hata hivyo pole kwao ila akili ziwakae sawasawa.
 
Pesa za Corona kuna wahuni watazipigaa hasaa...!! Hayo mabilioni yatatafunwaaa vilivyooo.. Ndo maana watu wanaacha kazi za maana kama Udaktari wanakuwa Wanasiasa sio mafalaa... Dr wanapambana na corona face to face wanasiasa kazi yao kutumbua mishahara ya wanaofanya kazi
 
Utawasikia wakisema tuna katiba bora duniani 😂😂😂😂🚮🚮🚮🚮

Yaani aliendoka na akili zote za hilo Taifa alifanya unyama sana

Utashangaa wanashangilia uhuru wa media wakati hata wakipiga kelele vipi bado pesa zinatafunwa nonstop na kipigo cha police kinawafikia kwa viwango vya kuridhisha tu
EULhPssXgAAIgvN.jpg
 
Utawasikia wakisema tuna katiba bora duniani

Yaani aliendoka na akili zote za hilo Taifa alifanya unyama sana

Utashangaa wanashangilia uhuru wa media wakati hata wakipiga kelele vipi bado pesa zinatafunwa nonstop na kipigo cha police kinawafikia kwa viwango vya kuridhisha tu View attachment 1537662
Ndio maana jeshi lao halikuitwa Kpdf limeitwa Kdf lazima liwanyanyase kwasababu sio jeshi la wananchi kama TANZANIA hilo ni jeshi la UHURU
 
Utawasikia wakisema tuna katiba bora duniani

Yaani aliendoka na akili zote za hilo Taifa alifanya unyama sana

Utashangaa wanashangilia uhuru wa media wakati hata wakipiga kelele vipi bado pesa zinatafunwa nonstop na kipigo cha police kinawafikia kwa viwango vya kuridhisha tu View attachment 1537662
Bunge la tz hata cctv halina, mtasema nn tuwaelewe haswa..
Askari wanalepua mwananchi
 
Ungeliandika hivi..
Madakatari wa county ya nairobi wailalamikia serekali ya mike mbuzi sonko
mibongolala hata haifahamu madaktari wanalipwa na serikali za kaunti si serikali ya kitafa kawaida kwao ni umbea tu bila kujifahamisha kwanza
 
Back
Top Bottom