Serikali ya CHADEMA ni kubwa mno!

Serikali ya CHADEMA ni kubwa mno!

Uelewa wa mtoa mada unatia mashaka ....................balaza kivuli liwe kubwa liwe dogo lina gharama gani? kwa nini uwa tese watu wa chache kufuatilia watu wengi wakati hawana gharama? mimi naona ni dogo mno lakini wa kiunda serikali 15 wanatosha kabisa
 
Ugonile malafyale? Twa mbombo? Naona ndugu yangu malafyale una wivu wenzio wakitawala kwa kuwa jina lako lina maanisha mtawala. Kama huelewi maana ya kivuli pole sana, kesho jua likiwaka angalia kivuli cha jua.

Si kweli kuwa serikali kivuli lzm ifuate mfumo wa kila kitu kutoka kwenye serikali halisi!
 
Duh...you're right whether they like it or not, baraza kivuli la mh.mbowe ni kubwa sana, kwa maoni yangu lingetosha kuwa na wabunge 13 na yeye mwenyewe wa kumi na nne. Gharama ziko, ackudanganye mtu. Waziri kivuli anaingia moja kwa moja kwenye kamati husika ya kudumu ya bunge kama mjumbe wa kamati, eg. Mnyika ambaye ni waziri kvli wa Nishati/Madini tayari ni mjumbe wa kamati hyo chini ya m/kit wake J.makamba, anapokea posho ya vikao vya kamati hyo kama wajumbe wengine na kulipiwa nauli endapo kamati itakuwa na ziara ndani na nje ya nchi, hivyo gharama zinaongezeka kwa ukubwa wa baraza kvli!
 
Afrika Mashariki is just like a department in the foreign affairs and international cooperation!

Then,ili kupunguza wizara ningeshauri Wizara ya Maliasili iunganishwe na Wizara ya Mazingira;Wizara ya Ofisi ya Rais-Utawala Bora iunganishwe na Wizara ya Mambo ya Ndani;nyinginezo nyingi tu zinastahili kuunganishwa!

lengo liwe ni kuionyesha CCM kuwa wanakosea mno kwa kuunda serikali kubwa!
 
Kulikuwa na nafasi ya kuunganisha wizara. Kwamfano Mr. Mbowe angeweza kuunganisha "Ujenzi na mawasiliano" Ofisi za Rahis ni nyingi sana, nk nk.
Kimantiki wamechemsha, nakubalina na mtoa hoja.
 
Great thinker no more. How can someone come with this type of thread?, What is shadow stands for?. Anyway I need a break from reading these types of thread.
 
hicho ni kivuli cha kikwete kama huelewi.wapeni chadema madaraka muone kazi kwa vitendo.


Kivuli siku zote huwa na Features nyingi lakini si Zote.
Kwa mfano kama umevaa nguo ya Bluu kivuli bado kitakuwa cheusi.
Ni serikali kivuli if you know ze meaning.
 
Kwanza we malafyale kuna kitu hukijui au umetumwa nini na rais kikwete baraza la mawaziri kivuli hulielewi nini? Muulize vizuri msando albert.
 
Wasi wasi wangu na hasa kama Mbowe anaruhusiwa kuunda serikali kivuli aitakayo yeye kikatiba;je isingekuwa vyema kuunda serikali ndogo kivuli ili mwaka 2015 watumie kama case study kuwaeleza wa Tanzania ni jinsi gani wapo serious kwenye kuokoa fedha za umma?


uwezo wako wa kufikiri unatakiwa kuongezewa mwamko.UMEAMBIWA SERIKALI KIVULI.NI LAZIMA IENDANE SWAMBAMBA NA WIZARA ZILIZOPO.
DR SLAA ALISEMA VILE KWAKUWA YEYE NDIYE ANGEPANGA WIZARA.
 
Mkuu hebu kua kama mtu aliyefuta ujinga kidogo.Baraza dogo sana litashindwa pia kufuatilia serikali ipasavyo.Mfano,angeweza kusema Waziri mmoja Kivuli asimamie wizarz tatu za JK,lakini hii ni realistic?Mtu mmoja atawezaje kupambana na serikali au wizara tatu zilizojaa uvivu?Kinachotakiwa ni kufanya ufuatiliaji wa man to man,kila wizara iwe na waziri kivuli mmoja.Jk yeye ameweka mawaziri 2 na wengine 3.Kama mpaka sasa hujaelewa,basi itabidi urudi tena shule au uwasitaki waliokupa vyeti kwa maana walionesha umefauku kumbe sivyo
 
Kwa kawaidi kivuli kinakuwa sawa kabisa na kitu chenyewe ili tu scale inaweza kuwa tofauti. Mafano kivuli cha mti kinaweza kuwa kidogo kwa sababu ya scale tu, lakini ukweli ni kwamba ukichunguza kila undani wa mti upo kwenye kivuli. Sasa unawezaje kupunguza baraza la mawaziri kivuli wakati real object ni kubwa. Mfano kuweka wizara ya mambo ya nje chini ya waziri kivuli moja ni upeo wa hali ya juu sana. Ila wewe kwa sababu ya kuganda kwa akili zenu na sera zenu za kuskwanda unataka kulazimisha kivuli kiwe kidogo ili mwone inawezekana kuunda serikali ndogo. Nakwambia ninyi ni vilaza na mtaendelea kuwa vilaza mpaka siku mtakapotoweshwa katika nchi hii.
 
Lakini tukiangalia maana ya kivuri ni reflection ya kitu fulani.Kilichoundwa na Mbowe ni reflection ya baraza la mawaziri la serikali.Hata kama sheria inakuruhusu je utacombine wizara 3 iwe wizara moja,je mnampa majukumu mangapi huyu waziri kivuri.Kwa upande wangu bado naona ni baraza dogo ukilinganisha na la serikali.Ila kama CDM wangekuwa wamekamata dola ni juu yao hata kuunda wizara 10 zinazokidhi mahitaji ya taifa
 
Huyu mtoa hoja c mzima na cku zote wa2 wa aina hii wanatoa hoja za kipumbavu dhidi ya wapinzani mbona hutoi hoja za msingi{umeme,reli,air TZ,bandari,elimu,dawa,ufisadi}ikisha sema CCM wakweli au waongo walipokuwa wanatoa ahadi mbele ya walalahoi
 
hata kwenye kampeni za kugombea u-rais mwaka jana,mgombea wa nafasi hiyo kupitia chadema dr slaa alikuwa akitusisitizia umuhimu wa tanzania kuwa na serikali ndogo isiyozidi mawaziri 15 na kwa kweli mm binafsi nilikubaliana na yeye kwani kama utakuwa na baraza dogo la mawaziri ni dhahiri utaokoa fedha nyingi sana za walala hoi kwenye mishahara na posho!

Lkn mbowe juzi katangaza baraza la mawaziri kivuli lenye watu zaidi ya 24 na kupingana kabisa na ahadi zao za kampeni!kama tunailaumu ccm kwa mambo mengi ikiwemo ukubwa wa serikali yake,ni kwa nini chadema wasingewaonyesha ccm kwa vitendo ni kiasi gani wapo makini kuokoa fedha za walipa kodi kwa kuunda serikali ndogo kama wakitwaa madaraka?

Je kwa serikali kubwa kivuli kama hii haitaingia akilini mwa wa tanzania kuwa hata chadema nao wakishinda u-rais wataunda serikali kubwa kama ccm na kuzmidi kumtwika mzigo mtanzania wa kawaida na hivyo kujipunguzia kura kwenye uchaguzi wa 2015?

Serikali kubwa kivuli ya chadema ni hii hapa:

Msemaji ofisi ya raisi: Freeman mbowe,
msaidizi: Silinde david
uwekezaji na uwezeshaji: Matiko
ofisi ya waziri mkuu: Vicent kiboko
ofisi ya raisi: Said
ofisi ya raisi & utawala bora: Mch nakse wa karatu
ofisi ya makamu wa raisi: Gekulu
ofisi ya raisi & mazingira: Leticia nyerere
ofisi ya fedha: Zitto kabwe msaidizi: Christina lissu
mambo ya ndani: Lema
katiba ya sheria: Tindu lissu
kimataifa: Wenje
jeshi la ulinzi: Seladhini
mawasiliano: Prof kayili
makazi: Mdee
maliasili: Mch peter msigwa
nishat na madini: Mnyika
ujenzi: Machemli
uchukuzi: Mhonga said
viwanda: Olenywa
elimu na mfunzo: Mtinda
afya: Dr gilbert mbasa
maendeleo ya jamii: Naomi kaiula
vijana na michezo: Mbilinyi mr two
kilimo: Meshack obulugwa
maji: Haines kiwia

ndugu malafyale umepotoka kidogo
naamini nia yako ni njema kabisa lakini kuna mambo 2 umeshindwa kuyaelewa either kwa makusudi au kwa bahati mbaya,sheria haisemi kiongozi wa kambi ya upinzani anaweza kupunguza wizara kama anavyotaka,serikali ina wizara na mawaziri 27,manaibu waziri 23,jumla 50,sheria inasema lazima hizi wizara zote ziwe na waziri kivuli,ndivyo alichokifanya mbowe kuna mawaziri kivuli 27 hata hiyo ya africa mashariki unayoisema ipo na waziri kivuli wake ni mustapha akuunay(mp mbulu chadema)
manaibu WAZIRI wako wa 2 fedha NA tamisemi,jumla 29,utaona kwamba baraza hilo linamawaziri 26 ambao ni lazima wawepo na manaibu waWILI na alitoa ufafanuzi wa uzito wa wizara alizoona zinahitaji manaibu kama nilivyoorozesha hapo juu.
pia bila kusahau kUtoka 50 hadi 29 ni Punguzo la asilimia 42%,naomba ninukuu msemo wa kingereza unaosema no research no right to speak,hivyo sitaki kuamini ulikuwa na nia ya kupotosha,naamini ulikuwa na nia ya kukosoa ili kujenga,unless u say so.kumbuka chadema walisema wao kama wangepewa ridhaa ya kuongoza na kuunda serikali wasingekuwa na wizara zinazozidi 20,serikali ya ccm sasa ina wizara 27,pia walisema baraza lao la mawaziri yani mawaziri na manaibu hawatazidi 24.PAMOJA NA SERIKALI KUWA NA MANAIBU WAZIRI WAPATAO 23,WAO WANAMANAIBU WAZIRI 2 TU.KWA MSISITIZO BOFYA HAPO USIKILIZE NA KUJIONEA MH.MBOWE YouTube - Mh. Freeman Mbowe akitangaza baraza lake la mawaziri vivuli leo (Michuzi Blog)
 
Back
Top Bottom