Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Ule mgogoro wa ardhi uliokuwa ukiwahusisha wananchi na kiwanda cha Cement cha wazo hatimaye umekwisha rasmi.
Na hii imetokana na juhudi binafsi zilizofanywa na mbunge matata Halima Mdee kwa kushirikiana na madiwani makini.
Wa chadema Janeth Rithe, Deus Mtiro na Esther Samany ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilaumu serikali kwa kuendelea kumkumbatia mwekezaji wa kiwanda hicho bila kuwajali wananchi ambao ni watanzania.
Hatimaye leo saa 7:00 mchana waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi pamoja na naibu wake walifika eneo la Chasimba wakiwa sambamba na timu nzima ya wizara hiyo iliyoongozwa na katibu mkuu wa wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi na hatimaye wamekubali kuwa wananchi wa chasimba,chachui na chatembo wataendelea kuwepo hapo maisha yao yote.
Hongera Halima Mdee, Janeth Rithe, Samanya waziri kwa kusikia kilio cha wananchi
Mkuu Chademakwanza naamini ujuzi wa Uanasheria wa Mhe.Mdee hautaishia kwenye kauli hizo za Lukuvi na timu yake.
Mhe.awaoganaze wananchi wote wa eneo hilo ililipimwe na liwe kwenye eneo liliopangwa (Michoro) kwa gharama yao hao wananchi bila kupoteza eneo sipokuwa yale yatakayopitiwa na Miundobinu kama Barabara za mitaa,eneo kwa ajili ya Dispensary ,shule etc.
Bila hivyo ni ulaghai ule ule wa Kisiasa baada ya Uchaguzi mambo ya bomoa bomaa yanarudi kama kawaida.
Ule mgogoro wa ardhi uliokuwa ukiwahusisha wananchi na kiwanda cha Cement cha wazo hatimaye umekwisha rasmi.
Na hii imetokana na juhudi binafsi zilizofanywa na mbunge matata Halima Mdee kwa kushirikiana na madiwani makini.
Wa chadema Janeth Rithe, Deus Mtiro na Esther Samany ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilaumu serikali kwa kuendelea kumkumbatia mwekezaji wa kiwanda hicho bila kuwajali wananchi ambao ni watanzania.
Hatimaye leo saa 7:00 mchana waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi pamoja na naibu wake walifika eneo la Chasimba wakiwa sambamba na timu nzima ya wizara hiyo iliyoongozwa na katibu mkuu wa wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi na hatimaye wamekubali kuwa wananchi wa chasimba,chachui na chatembo wataendelea kuwepo hapo maisha yao yote.
Hongera Halima Mdee, Janeth Rithe, Samanya waziri kwa kusikia kilio cha wananchi
Chini ya Kamanda Mdee Mambo yanafanyika kiumakini
Mkuu Chademakwanza naamini ujuzi wa Uanasheria wa Mhe.Mdee hautaishia kwenye kauli hizo za Lukuvi na timu yake.
Mhe.awaoganaze wananchi wote wa eneo hilo ililipimwe na liwe kwenye eneo liliopangwa (Michoro) kwa gharama yao hao wananchi bila kupoteza eneo sipokuwa yale yatakayopitiwa na Miundobinu kama Barabara za mitaa,eneo kwa ajili ya Dispensary ,shule etc.
Bila hivyo ni ulaghai ule ule wa Kisiasa baada ya Uchaguzi mambo ya bomoa bomaa yanarudi kama kawaida.
Hakika kamanda Mwita MaranyaKamanda Mdee amefanya kazi kubwa sana na ya kupigiwa mfano.
Sasa tunamuongezea miaka mingine mitano ili afanye makubwa zaidi ya haya aliyofanya awamu hii ya 2010-2015!
Kiongozi wa wanyonge....!
Lukuvu =LukuviKama halima anauwezo wa kumaliza mgogoro kwaini hajamaliza yeye mpaka amekuja Lukuvu ndiyo mgogoro ukaisha kwahiyo ujue kuwa bila serikali ya ccm kutia miguu hapo mgogoro usingeisha.
Ule mgogoro wa ardhi uliokuwa ukiwahusisha wananchi na kiwanda cha Cement cha wazo hatimaye umekwisha rasmi.
Na hii imetokana na juhudi binafsi zilizofanywa na mbunge matata Halima Mdee kwa kushirikiana na madiwani makini.
Wa chadema Janeth Rithe, Deus Mtiro na Esther Samany ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilaumu serikali kwa kuendelea kumkumbatia mwekezaji wa kiwanda hicho bila kuwajali wananchi ambao ni watanzania.
Hatimaye leo saa 7:00 mchana waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi pamoja na naibu wake walifika eneo la Chasimba wakiwa sambamba na timu nzima ya wizara hiyo iliyoongozwa na katibu mkuu wa wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi na hatimaye wamekubali kuwa wananchi wa chasimba,chachui na chatembo wataendelea kuwepo hapo maisha yao yote.
Hongera Halima Mdee, Janeth Rithe, Samanya waziri kwa kusikia kilio cha wananchi
Kafanya nini sasa mbona amekaa na huo mgogoro zaidi ya miaka minne mpaka waziri lukuvi kaja ndiyo umeisha kwanini hajamaliza bila lukuvu kufika.Kamanda Mdee amefanya kazi kubwa sana na ya kupigiwa mfano.
Sasa tunamuongezea miaka mingine mitano ili afanye makubwa zaidi ya haya aliyofanya awamu hii ya 2010-2015!
Tangu utoe mimba umekuwa kituko wewe mama!Lukuvu =Lukuvi