Serikali ya CCM Yashindwa Hoja na Halima Mdee

Serikali ya CCM Yashindwa Hoja na Halima Mdee

Kama halima anauwezo wa kumaliza mgogoro kwaini hajamaliza yeye mpaka amekuja Lukuvu ndiyo mgogoro ukaisha kwahiyo ujue kuwa bila serikali ya ccm kutia miguu hapo mgogoro usingeisha.

Mlikuwepo Mkaufumbia Macho miaka yote
 
Tuacheni uchama jamani, MTU anapopiga kazi lazima tumsifie. Tangu Magamba yameanza hayajawahi kutoa kifaa kizito kama Lukuvi. Namkubali sana LUKUVi anajituma. Magamba igeni huo mfano. Hongera sana waziri, timu yako, Mbunge na Madiwani. Ndo tunachokitaka hiki.

Mdee na Madiwani wa Chadema ndio wakupongezwa zaidi maana ccm walifunika kombe
 
Safi sana kamanda Halima Mdee hakika Chedema tunavichwa na hatukurupuki, maccm yakajikusanya 100 kuunganisha vichwa na akili kamwe hawawez kumfikia Mdee.
 
Kama halima anauwezo wa kumaliza mgogoro kwaini hajamaliza yeye mpaka amekuja Lukuvu ndiyo mgogoro ukaisha kwahiyo ujue kuwa bila serikali ya ccm kutia miguu hapo mgogoro usingeisha.

ccm ni kama mende kwan mende hana medulla oburangata. hawajui watendalona huu mgogoro eamejichomeka ili eaone huruma kumbe ndo kiama
 
Kama halima anauwezo wa kumaliza mgogoro kwaini hajamaliza yeye mpaka amekuja Lukuvu ndiyo mgogoro ukaisha kwahiyo ujue kuwa bila serikali ya ccm kutia miguu hapo mgogoro usingeisha.

Hamuwez kitu bhana hd muwe na jembe kama Mdee vile ndio mnaweza, ila mkiachiwa wenyewe kamwe hamuwez tumeona meng mno mkishindwa ile katiba ya chenge mlisema manaweza tukaawachia bunge je? Mliweza!!
 
Kuelekea uchaguzi mkuu kutakuwa na 'maazimio' kama haya mengi sana. Kule Kigamboni walipewa 'azimio' la kutonyang'anywa maeneo yao, bali wataruhusiwa kuuza kwa hiari yao. Je ramani ya mji wa Kigamboni imewekwa kando? Kama hapana, je nini kitatokea ikiwa wananchi watakataa shinikizo la kuuza maeneo yako, hasa kwa bei chee??
 
Kuelekea uchaguzi mkuu kutakuwa na 'maazimio' kama haya mengi sana. Kule Kigamboni walipewa 'azimio' la kutonyang'anywa maeneo yao, bali wataruhusiwa kuuza kwa hiari yao. Je ramani ya mji wa Kigamboni imewekwa kando? Kama hapana, je nini kitatokea ikiwa wananchi watakataa shinikizo la kuuza maeneo yako, hasa kwa bei chee??
Mda wa ccm kuhaha umefika
 
Lukuvi na elimu ndogo vs Prof.Anna Tibaijuka.Yaani yule mama tulimpa mategemeo makubwa matokeo yake akawa hovyo kabisa waziri wa ardhi.Mdee ndiye kamanda wangu kawe,wewe utakua mbunge wa maisha huku kawe
 
Last edited by a moderator:
Kama halima anauwezo wa kumaliza mgogoro kwaini hajamaliza yeye mpaka amekuja Lukuvu ndiyo mgogoro ukaisha kwahiyo ujue kuwa bila serikali ya ccm kutia miguu hapo mgogoro usingeisha.

Tatizo una akili kama za ng'ombe hvyo nivigudu sana kwa wewe kuelewa.
 
Lukuvi na elimu ndogo vs Prof.Anna Tibaijuka.Yaani yule mama tulimpa mategemeo makubwa matokeo yake akawa hovyo kabisa waziri wa ardhi.Mdee ndiye kamanda wangu kawe,wewe utakua mbunge wa maisha huku kawe
Umenena vema Kamanda
 
Last edited by a moderator:
Ulipaswa kuwa waziri mkuu wewe Halima na Lukuvi naibu wako



Ule mgogoro wa ardhi uliokuwa ukiwahusisha wananchi na kiwanda cha Cement cha wazo hatimaye umekwisha rasmi.

Na hii imetokana na juhudi binafsi zilizofanywa na mbunge matata Halima Mdee kwa kushirikiana na madiwani makini.
Wa chadema Janeth Rithe, Deus Mtiro na Esther Samany ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilaumu serikali kwa kuendelea kumkumbatia mwekezaji wa kiwanda hicho bila kuwajali wananchi ambao ni watanzania.

Hatimaye leo saa 7:00 mchana waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi pamoja na naibu wake walifika eneo la Chasimba wakiwa sambamba na timu nzima ya wizara hiyo iliyoongozwa na katibu mkuu wa wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi na hatimaye wamekubali kuwa wananchi wa chasimba,chachui na chatembo wataendelea kuwepo hapo maisha yao yote.

Hongera Halima Mdee, Janeth Rithe, Samanya waziri kwa kusikia kilio cha wananchi
 
Mh. Mdee waambie wananchi kuwa, kukubali huku unakwenda mbali zaidi kuwaandalia hati za makazi yao!

Isiwe ndio mtego wao kuwa ccm inajali

Wanachasimba,chatembo na chachui wembe uleule uliowanyoa mafisadi 201o mpeni za ndio Mh. Na mwanasheria machachali Halima james Mdee awatumikie!


Ule mgogoro wa ardhi uliokuwa ukiwahusisha wananchi na kiwanda cha Cement cha wazo hatimaye umekwisha rasmi.

Na hii imetokana na juhudi binafsi zilizofanywa na mbunge matata Halima Mdee kwa kushirikiana na madiwani makini.
Wa chadema Janeth Rithe, Deus Mtiro na Esther Samany ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilaumu serikali kwa kuendelea kumkumbatia mwekezaji wa kiwanda hicho bila kuwajali wananchi ambao ni watanzania.

Hatimaye leo saa 7:00 mchana waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi pamoja na naibu wake walifika eneo la Chasimba wakiwa sambamba na timu nzima ya wizara hiyo iliyoongozwa na katibu mkuu wa wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi na hatimaye wamekubali kuwa wananchi wa chasimba,chachui na chatembo wataendelea kuwepo hapo maisha yao yote.

Hongera Halima Mdee, Janeth Rithe, Samanya waziri kwa kusikia kilio cha wananchi
 
Kafanya nini sasa mbona amekaa na huo mgogoro zaidi ya miaka minne mpaka waziri lukuvi kaja ndiyo umeisha kwanini hajamaliza bila lukuvu kufika.
Wewe jamaa usiwe jinga kiasi hicho mpaka unashindwa kujua nan msimamiz wa ardhi na sheria.hujui kutofautisha kaz bunge na serikali....?ufaham wa darasa la saba.kweli wew ni mkoa mpya.
 
Kamanda Mdee amefanya kazi kubwa sana na ya kupigiwa mfano.
Sasa tunamuongezea miaka mingine mitano ili afanye makubwa zaidi ya haya aliyofanya awamu hii ya 2010-2015!

Cdm ni mpango wa Mungu kutupeleka nchi ya ahadi
 
Back
Top Bottom