Uwekezaji huu ni kwa manufaa ya watanzania wote au kikundi cha mafisadi? kuna taarifa kuwa serikali imesaini mkataba na kampuni ya Orphir Energy ya mjini London mkataba wa $50m kuchimba mafuta baharini sehemu za Mtwara kutokana na makubaliano ya mkataba huo Tanzania itapata asilimia 12 ya mapato yatakayopatikana, ninachouliuliza huu ni uwekezaji au ni mwendelezo wa deal za Richmond? Wadau mliopo London jaribuni kutafuta ukweli wa jambo hili maana hii ni kali kuliko ya Richmond, Rigs ya kuchimbia mafuta ipo njiani kutoka South Korea, je CCM imeshawaeleza wananchi juu mkataba huu?