Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
namnukuu MARTIN LUTHER:A man who won't die for something is not fit to live. Serikali ya ccm inapaswa kujua hatukuingia upinzania wala kuunda vyama vya upinzani ili kuisifia au kuipongeza bali nikwaajili ya kuikosoa inapokosea, hivyo hivyo isiegemee kuwa ttaogopa kifo ,kifungo, mateso au vitisho , CHADEMA tutaendelea kuandamana kudai haki yeyote ile inayokiukwa na serikali ya ccm kwa gharama yeyote ile, wananchi wamechoka sisi ndiyo tunawachelewesha kufanya change ya serikali.
The greatest destroyer of peace is abortion because if a mother can kill her own child, what is left for me to kill you and you to kill me? There is nothing between. ccm lazima iondoke sasa hata kabla ya uchaguzi, Watanzania tusiongope vitisho vyao tuwemstari wa mbele kuzidai haki zetu kwa nguvu zote.
The greatest destroyer of peace is abortion because if a mother can kill her own child, what is left for me to kill you and you to kill me? There is nothing between. ccm lazima iondoke sasa hata kabla ya uchaguzi, Watanzania tusiongope vitisho vyao tuwemstari wa mbele kuzidai haki zetu kwa nguvu zote.