engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Ndugu wana Jf najiuliza hivi hii serikali yetu ya ccm ina tatizo gani?
najiuliza hili swali kutokana na mambo mengi yanayoendelea katika nchii yetu inayomilikiwa na serikali ya ccm
kwani jana tu WALIMU wapya zaidi ya 32 wa shule za sekondari waliandamana hadi Manispaa ya Arusha wakidai kulipwa fedha zao za kujikimu
lakini pia jana hiyohiyo wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) walivamia ukumbi wa kupata vyakula na vinywaji unaotumiwa na wabunge na mawaziri kwenye hoteli ya Ubungo Plazza, wakishinikiza kulipwa mafao yao
pia kule kilimanjaro SHULE za sekondari mkoani Kilimanjaro zinakabiliwa na matatizo mbalimbali, yakiwemo upungufu wa madarasa na nyumba za walimu na kusababisha huduma za elimu kuwa chini.
bado kuna walimu na wafanyakazi wengi tu wa serikali ya ccm wakidai malimbikizo yao ambayo hawajalipwa hadi leo hii,
chakushangaza ni kwamba serikali hiyo hiyo yenye matatizo kemkem leo ina kaachini na kuamuwa kuilipa DOWANS mabilioni ya pesa ambazo kama zingetumika vizuri zingeweza kusaidia angarau kupunguza matatizo yote niliyoyataja hapo juu ya kuwalipa walimu,hao wafanyakazi wa bandari na hata wale wazee wetu wa east afrika.na hayo ni baadhi tu ya matatizo yanayo wakumba wafanyakazi wake
sasa wana Jf Tujiulize mala mbili hivi hii SERIKALI YA CCM inatatizo gani?
mapinduziiiii daimaaaaaaaaaaa:bump::msela:
najiuliza hili swali kutokana na mambo mengi yanayoendelea katika nchii yetu inayomilikiwa na serikali ya ccm
kwani jana tu WALIMU wapya zaidi ya 32 wa shule za sekondari waliandamana hadi Manispaa ya Arusha wakidai kulipwa fedha zao za kujikimu
lakini pia jana hiyohiyo wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) walivamia ukumbi wa kupata vyakula na vinywaji unaotumiwa na wabunge na mawaziri kwenye hoteli ya Ubungo Plazza, wakishinikiza kulipwa mafao yao
pia kule kilimanjaro SHULE za sekondari mkoani Kilimanjaro zinakabiliwa na matatizo mbalimbali, yakiwemo upungufu wa madarasa na nyumba za walimu na kusababisha huduma za elimu kuwa chini.
bado kuna walimu na wafanyakazi wengi tu wa serikali ya ccm wakidai malimbikizo yao ambayo hawajalipwa hadi leo hii,
chakushangaza ni kwamba serikali hiyo hiyo yenye matatizo kemkem leo ina kaachini na kuamuwa kuilipa DOWANS mabilioni ya pesa ambazo kama zingetumika vizuri zingeweza kusaidia angarau kupunguza matatizo yote niliyoyataja hapo juu ya kuwalipa walimu,hao wafanyakazi wa bandari na hata wale wazee wetu wa east afrika.na hayo ni baadhi tu ya matatizo yanayo wakumba wafanyakazi wake
sasa wana Jf Tujiulize mala mbili hivi hii SERIKALI YA CCM inatatizo gani?
mapinduziiiii daimaaaaaaaaaaa:bump::msela: