Serikali ya awamu ya tano Sasa inashughulika na mapapa ili kila mwanainchi apate Haki yake toka mamlaka husika!

Wanainchi wa Tanzania ilikuwa kama wimbo kila kukicha kuwa Serikali inahangaika na vidagaa na kuwaacha mapapa kwa wale wanaovunja sheria za nchi.

Serikali ya awamu ya tano Sasa inashughulika na hao Mapapa bila kuangalia Jina wala nafasi yake kwa Serikali au jamii.

Hata ule usemi wa Serikali kuwakamata vidagaa na kuwaacha mapapa Umetoa mbawa.

Hakuna yoyote aliye juu ya sheria watu wote wana haki sawa mbele ya sheria.

Nadhani huu ni mwanzo Mzuri ktk kuhakikisha haki inatendeka Katika nchi na kila mwanainchi anapata haki zake bila ubaguzi kutoka ktk mamlaka husika.
- Mwambie Magufuli awape watu HAKI zao, apunguze drama nyingine. Kuna makundi yametengwa kabisa utafikiri WACHAWI nchi hii hususani kundi la VIJANA

- AJIRA
- STAHIKI ZA WATUMISHI
- GHARAMA NAFUU ZA USAJILI WA KAMPUNI/TRADEMARKS + GRACE PERIODS KIKODI
- MIKOPO HALMASHAURI ipatikane
- BODABODA, MACHINGA, WAOSHA MAGARI pia wafanye kazi kwa UHURU au serikali inataka WAWE MAJAMBAZI ?
 
Watie adabu, waanze kufanya kazi tu. Si kukaa kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Ni wakati sasa upinzani wafanye vitu "tangible" si porojo na siasa maji taka, hazisaidii chochote katika jamii.
Weka bunduki chini tubishane kwa hoja...
 
- Mwambie Magufuli awape watu HAKI zao, apunguze drama nyingine. Kuna makundi yametengwa kabisa utafikiri WACHAWI nchi hii hususani kundi la VIJANA

- AJIRA
- STAHIKI ZA WATUMISHI
- GHARAMA NAFUU ZA USAJILI WA KAMPUNI/TRADEMARKS + GRACE PERIODS KIKODI
- MIKOPO HALMASHAURI ipatikane
- BODABODA, MACHINGA, WAOSHA MAGARI pia wafanye kazi kwa UHURU au serikali inataka WAWE MAJAMBAZI ?
Ujumbe umefika...lakinibkwa ajira fuatilia matangazo Serikali imetangaza nafasi za kazi.
 
Watie adabu, waanze kufanya kazi tu. Si kukaa kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Ni wakati sasa upinzani wafanye vitu "tangible" si porojo na siasa maji taka, hazisaidii chochote katika jamii.

Anayezalisha sifuri na anayekuletea hasara ya mabilioni ya fedha ni aheri yupi?
 
..na visichana vilivyotunga mimba vikiwa shuleni mnavyoviandama navyo ni mapapa?
Hivyo visichana havianja kutungwa mimba leo wala kufukuzwa shule wakiwa na mimba haijaanza leo! Kumbuka tu!
 
Wanainchi wa Tanzania ilikuwa kama wimbo kila kukicha kuwa Serikali inahangaika na vidagaa na kuwaacha mapapa kwa wale wanaovunja sheria za nchi.

Serikali ya awamu ya tano Sasa inashughulika na hao Mapapa bila kuangalia Jina wala nafasi yake kwa Serikali au jamii.

Hata ule usemi wa Serikali kuwakamata vidagaa na kuwaacha mapapa Umetoa mbawa.

Hakuna yoyote aliye juu ya sheria watu wote wana haki sawa mbele ya sheria.

Nadhani huu ni mwanzo Mzuri ktk kuhakikisha haki inatendeka Katika nchi na kila mwanainchi anapata haki zake bila ubaguzi kutoka ktk mamlaka husika.
Bashite???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujumbe umefika...lakinibkwa ajira fuatilia matangazo Serikali imetangaza nafasi za kazi.
Ni SIASA tu ndugu. Na hata kama mambo yatakuwepo, yanapaswa KURAHISISHWA siyo UFAHARI Kufanya hata jambo dogo liwe GUMU KUPITILIZA
 
Watie adabu, waanze kufanya kazi tu. Si kukaa kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Ni wakati sasa upinzani wafanye vitu "tangible" si porojo na siasa maji taka, hazisaidii chochote katika jamii.
Huna lolote, uzee umekunyemelea mpaka kwenye ubongo. Sasa umeandika nini hiki..

Siasa basi
 
Back
Top Bottom