Mwanzoni tulijifanya nchi yetu ni tajiri. Hatuhitaji msaada. Asilimia 40 ya bajeti itaenda kwenye miradi ya maendeleo. Mifuko ya hifadhi ya jamii kujenga viwanda.
Leo hii, misaada ina masharti magumu. Mikopo ni ghali kutokana na hali ya soko la dunia, (sijui soko lipi hilo). Mtikisiko wa kibenki upo na nchi nyingine. Biashara zinafungwa kwa sababu ya kubadili biashara lakini hawasemi ngapi zimefunguliwa.
Baada ya hapo, tumeomba mikopo na tunasaka mikopo sehem.kadhaa, tumeomba serikali ya China itusaidie kujenga viwanda. Tumeomba, tunaomba na tutaendelea kuomba.
Tujipange, tutayumba zaidi.
Leo hii, misaada ina masharti magumu. Mikopo ni ghali kutokana na hali ya soko la dunia, (sijui soko lipi hilo). Mtikisiko wa kibenki upo na nchi nyingine. Biashara zinafungwa kwa sababu ya kubadili biashara lakini hawasemi ngapi zimefunguliwa.
Baada ya hapo, tumeomba mikopo na tunasaka mikopo sehem.kadhaa, tumeomba serikali ya China itusaidie kujenga viwanda. Tumeomba, tunaomba na tutaendelea kuomba.
Tujipange, tutayumba zaidi.