Serikali ya Awamu ya 5 ijaribu kuwa sikivu, kwa kweli mtaani hali ni mbaya!

Lakini Jiwe anadai kila anayelalamikia hali mbaya alikuwa mpiga "dili" katika awamu zilizopita!

Hivi kweli mamilioni ya watu wanaopiga kelele vijijini na mijini kutokana na hali mbaya sana ya uchumi, wote walikuwa wezi kwenye tawala za awamu zilizopita??
Masikini Kule kijijini wanatozwa kodi na ushuru, hawajui hata maana ya dili, lakini wana hali mbaya mpaka inatia huruma. Afadhali yeye aliwahi kupigs dili LA nyumba za serikali na nyingine kumnunulia mama mdogo Sundi Malomo. Kilangila.
 
Mama yangu mzazi ana magunia 35 ya mahindi ambayo hayana soko. Ameniambia nikachukue idadi nitakayo. Tatizo nikipakia kwenye basi, debe moja wanachaji sh. 5,000. Nimemtumia pesa ya mbolea maana hajauza mazao ya mwaka Jana. JPM anaposema "Hapa Kazi Tu", ana maanisha kazi gani labda? Kilangila.
Mi nauliza hicho kilimo watu wamelima mahindi bado wanayo hawajui wapeleke wapi, sasa ni kilimo kipi week unashauri na mazao hayo yatauzwa wapi Kama viwanda hakuna?
 
Watu wengine humu sina hata ya kuwajibu maana hawajitambui! Nakushukuru kwa kusaidia kuwapa ufafanuzi!
Nchi inaelekea shimoni lakini hayaoni kazi yao ni moja kuimba na kutoa sifa za kinafiki!
Mengine yanaimba kama kasuku tu mara SGR,Stiglers Gorge,mara ameleta Ndege n.k.! Misukule kabisa!
Stiglers Gorgi inahitaji Trilioni 7.1 hadi kukamilika,sasa Ebu hii misukule ijiulize kuwa kama Serikali ilipanga mwaka huyu unaoisha wa budget ingetoa billion 700 za ujenzi wa mradi!
ambapo ingetoa hizo billion 700 angalau kila mwaka basi mradi ungechukua miaka 10 kukamilika!
Sasa Serikali imetoa kwa mwaka huu wa fedha unaoisha juni 30 chini ya Billion 100,hivyo kwa mwendo huo mradi utachukua zaidi ya miaka 70!
Sasa sijui huyo wanamdanganya kwa nyimbo na mapambio ya kinafiki atakuwa wapi kipindi hicho!
SGR inahitaji zaidi ya Trillion 17 ! hadi kukamilisha! Hizo fedha tutazitoa wapi?! Kupanga ni kuchagua na " master of all is master of none"!)
Serikali isiyokuwa na vipaumbele mwisho wake ni kushindwa kwa aibu!
Hata ikikamilika je itarejesha huo mtaji kwa mda gani.Tulitaka chochote kuhusu miradi itumiayo kodi zetu ipitie bungeni na kwa wananchi pia.IPO miradi ikuzayo uchumi kwa haraka na kwa mda mfupi
 
Back
Top Bottom