pasi padinde
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 282
- 299
Habari wana jamii
Shule za private hasa za msingi sijui kama zinatizamwa kwa ukaribu na wizara ya Elimu. Mama ndalichako tafadhali unda kikosi kazi zichunguzwe hizi shule. Kuna mikataba ya ajabu sana kwa walimu
Wakenya wamejazana katika mashule yetu na sijui kama wanalipa permit za kuishi nchini kihalali. Shule zina dimand sana ada kuliko kinachofundishwa kwa watoto
Niombe kuwe na grades katika shule hizi za private. Yaani ukienda hotel zimewekwa grade
Normal, lodge unakuta hata taulo zinanuka bei 5000-25000
Highly .......30000.......90000
Nyota tano
100000 mpaka millions huko
Mabasi pia
Lakini shule hizi zipo ovyo kabisa serikali inapoteza mapato sana
Serikali inashindwa kutoa usimamizi ili kujua nini kipo huko.
Fuatilieni
Shule za private hasa za msingi sijui kama zinatizamwa kwa ukaribu na wizara ya Elimu. Mama ndalichako tafadhali unda kikosi kazi zichunguzwe hizi shule. Kuna mikataba ya ajabu sana kwa walimu
Wakenya wamejazana katika mashule yetu na sijui kama wanalipa permit za kuishi nchini kihalali. Shule zina dimand sana ada kuliko kinachofundishwa kwa watoto
Niombe kuwe na grades katika shule hizi za private. Yaani ukienda hotel zimewekwa grade
Normal, lodge unakuta hata taulo zinanuka bei 5000-25000
Highly .......30000.......90000
Nyota tano
100000 mpaka millions huko
Mabasi pia
Lakini shule hizi zipo ovyo kabisa serikali inapoteza mapato sana
Serikali inashindwa kutoa usimamizi ili kujua nini kipo huko.
Fuatilieni