Serikali Wastaafu Wanalia Waoneeni Huruma

Serikali Wastaafu Wanalia Waoneeni Huruma

VERBOSE

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
8,521
Reaction score
13,361
..........
Wastaafu mnawanyima mafao yao kwa sababu zisizo na misingi yoyote why?
 
Ni madhala ya kukubali kuwa ng'ombe, walitosheka na ajira zao za mia mbili wakatuona mafala tusiovaa suti za mtumba, lakini walisahu kunakesho na mkuu wao huwa hatambui kunakilema yeye huhitaji wote waende vitani...
 
Ni madhala ya kukubali kuwa ng'ombe, walitosheka na ajira zao za mia mbili wakatuona mafala tusiovaa suti za mtumba, lakini walisahu kunakesho na mkuu wao huwa hatambui kunakilema yeye huhitaji wote waende vitani...
Aise
 
Wabunge wao ni chap tu! Bunge linavunjwa watu tayari accounts zinasoma 9 digits.
 
Back
Top Bottom