OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
mheshimiwa Tundu Lissu amekuwa akichachafya serikali kwa hoja moja mbali mbali hasa zinazohusiana na katiba na mambo ya sheria,yafuatayo ni mifano michache
1.serikali ya zanzibar kuanzisha majeshi kinyume cha katiba
2.serikali ya Zanzibar kujitangazia uhuru bila kutaja neno uhuru
3.Muungano sio halali kwa kuwa bunge la zanzibar wakati wa kuungana halikutunga sheria ya kuridhia muungano
4. Mambo yaliyoongezwa kwenye article 11 za muungano ni batili kwa kuwa hayakufata sheria ya muungano
5.wakuu wa mikoa na wilaya ni watumishi wa umma hivo kuwa wabunge ni kinyume na katiba
6. Wanajeshi ambao sio wastaafu kuwa wakuu wa wilaya ni kinyume cha katiba
7. Mahakama ya Rufani iliingizwa kuwa jambo la muungano kinyemela
8.Rais wa muungano kukaa kimya wakati kuna uvunjifu mkubwa wa katiba hasa upande wa Zanzibar ni kosa na anatakiwa kushitakiwa bungeni kwa kushindwa kulinda katiba aliyoapa kuilinda?
Hayo ni machache sana ila serikali ya ccm imekuwa inataoa majibu ya jumla au kumshambulia Lissu binafsi na sio hoja zake! Swali langu ni lini serikali hii itapitia kifungu hadi kifungu hoja za kamanda Lissu na kuzitolea majibu ya kisheria na sui ya kisiasa, huu ni wajibu mkubwa sana wa mwanasheria mkuu(AG) na waziri wa sheria na katiba!!Kuna mkanganyiko mkubwa sana wa kikatiba i.e katiba ya zanzibar, katiba ya JMT NA Sheria ya muungano! tupeni majibu sio porojo na siasa!
1.serikali ya zanzibar kuanzisha majeshi kinyume cha katiba
2.serikali ya Zanzibar kujitangazia uhuru bila kutaja neno uhuru
3.Muungano sio halali kwa kuwa bunge la zanzibar wakati wa kuungana halikutunga sheria ya kuridhia muungano
4. Mambo yaliyoongezwa kwenye article 11 za muungano ni batili kwa kuwa hayakufata sheria ya muungano
5.wakuu wa mikoa na wilaya ni watumishi wa umma hivo kuwa wabunge ni kinyume na katiba
6. Wanajeshi ambao sio wastaafu kuwa wakuu wa wilaya ni kinyume cha katiba
7. Mahakama ya Rufani iliingizwa kuwa jambo la muungano kinyemela
8.Rais wa muungano kukaa kimya wakati kuna uvunjifu mkubwa wa katiba hasa upande wa Zanzibar ni kosa na anatakiwa kushitakiwa bungeni kwa kushindwa kulinda katiba aliyoapa kuilinda?
Hayo ni machache sana ila serikali ya ccm imekuwa inataoa majibu ya jumla au kumshambulia Lissu binafsi na sio hoja zake! Swali langu ni lini serikali hii itapitia kifungu hadi kifungu hoja za kamanda Lissu na kuzitolea majibu ya kisheria na sui ya kisiasa, huu ni wajibu mkubwa sana wa mwanasheria mkuu(AG) na waziri wa sheria na katiba!!Kuna mkanganyiko mkubwa sana wa kikatiba i.e katiba ya zanzibar, katiba ya JMT NA Sheria ya muungano! tupeni majibu sio porojo na siasa!