Juu ya hili la ndege Lissu alisema nini mkuu.. naomba toa nukuuLissu aliyasema haya yote wajinga wakadharau wakampiga risasi.....they are reaping what they saw.
unajifanya mjaaanja..hahahahaHahahaa MATAGA bwana wakishindwa hoja wanaanza matusi ili wareport kwa mods upigwe BAN,Siingiagi kwenye MITEGO ya ZERO BRAIN maana walipolala wao ndio nilipoamka.
Mwambie "LOYA" wenu MSoMi ALIBETO MSANDO akalipe Bilioni 9.5 kwa S.A.A ili ndege yetu "BOMBADYEEEEE KYU FO HANDRILEDI" iachiwe.
Hii ndio serikali ya magu, yaani ametunyang'anya uzalendo kwa ubaguzi wa wazi kwa watanzania.Alaaaaaaa... kumbe mnadaiwa jamani.... ndo mlipe sasa...
Naipenda sana Tanzania ila hawa watawala wanazingua sana. Wanafanya vitu kwa ujinga hadi inafikia wakifeli tunafurahia. Wanatuona sisi kama sio watu. Wangekuwa na uwezo wangetuua wote ili wabaki wao wafanye watakaloww unataka mfanya Magu apate acute ulcers mkuu..hahhahaha
Soma uelewe, hii ilikuwa mwaka 2008 Leo ni mwaka 2019.cash strapped tena, mbona wanasema inafanya vizuri sana kimapato!
Wise 🙏🙏🙏🙏Ndg mmteule,
Utaifa haujengwi kwa chuki. Unajengwa kwa upendo. Haiwezekani CCM wakawaita wapinzani majina mabaya na kuwabeza kisha ukatarajia wayapende maamuzi yenu mabaya. No way! Najua unaona namna wabunge wa upinzani wanavyobezwa bungeni, na CCM wanatumia uwingi wao kufanya maamuzi mabovu kabisa yanayogharimu nchi. Kwa nini CAG hakuruhusiwa kukagua process nzima ya ununuzi wa ndege hizi? Nani aliidhinisha ununuzi wa hizi ndege? Sasa kwa nini matatizo wasababiahe wao halafu watake tulie wote? By the way kinachotuuma kama walipa kodi ni kwamba ndege hizi tumenunua kwa kodi zetu. Tunaumia kuona hazizalishi faida kwa kadri ya matarajio tuliyolishwa hapo kabla!
Kwa mtazamo wangu MDOGO hapa naona kuna hujuma inafanyika ili ndege hizi zisiaminike na abiria huko nje ya Tanzania pia Kwa wenzetu huko ukizingua Kwenye timetable basi huwezi kushindana Kwenye biashara.Duh!.
P
Shukrani kwa Taarifa!South African Airways takes ailing Tanzanian national airline to court
DAR ES SALAAM, Tanzania (eTN) - Failure to operate profitably, lack of viable business plans and failure to repay its loan to its former partner, Tanzania’s cash-strapped national airline Air Tanzanwww.eturbonews.com
Kampuni ikishakuwa Limited unaikamataje kwa madeni ya serikali hata kama kampuni iko chini ya Serikali ?As long as ni mali ya serikali hata ukizisajiri kama za TRC Ltd zitakamatwa tu, labda ummilikishe Mo.
Kwani mnaijuwa sababu ya mahakama kuu ya Afrika Kusini kuizuia ndege yetu?Juzi tu wametoka kuchekeana kwenye mkutano wa SADC leo hii wanawekeana upaja.
maisha bila unafki hayaendi.
Hakuna safari ya mafanikio isiyo na changamoto. Kwa upande wangu namkubali Sana JPM ameonesha nia njema. Ila ni utoto wa hali ya juu kushangilia baba yako anapo anguka wakati huo unamtegemea kwa mahitaji. Hivi sisi waafrika nani katuroga tuna fanya vitu kama washirikina hatutaki kuona hata maendeleo ya nchi yetu. Muda wote tumekuwa washangiliaji tunapo anguka wenyewe. We need to be pro government and not against.
Hizi ndege zetu hazina tofauti na NAJIMUNISA BUS SERVICE yaani kulala njiani siku mbili kitu cha kawaida au kufaulishwa Kwenye basi tofauti,Kwa kifupi sidhani kama kuna abiria huko nje ya nchi ataweza kupanda usafiri usio na uhakikaNimeona hii press release huko twitter, nikasema labda ni habari fake!!
Kwakuwa wanamshikia Lissu Bango huko mahakamani,basi na wao wawe wapole tu na wala wasilalamike maana sheria ni msumeno.
Hapo itabidi wagharamie chakula na malazi ya abiria wote in case watakosa ndege ya kuwasafirisha hao abiria.
Tusipotendeana haki sisi wenyewe humu nchini,haya majanga hayataisha(Mungu ataaendelea tu kutuadhibu)
Mungu si mwanadamu, na wote tuko sawa mbele yake.
Na kama kweli?Lilikuwa ni suala la muda tu. Utasikia Wapinzani wanahujumu!
Dawa ya mideni ni kuilipa mambo mengine yaendeleeWaziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ameomba radhi kwa usumbufu ulijitokeza kwa abiria wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) waliokuwa wasafiri kutoka Johannesburg kwenda jijini Dar
Ameomba radhi hiyo kutokana na abiria hao kushindwa kusafiri kutoka uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg baada ya ndege hiyo kushindwa kufanya safari kama ilivyopangwa kutokana na kuzuiwa
Kwa mujibu wa taarifa ambayo Serikali imepokea, ndege hiyo imezuiwa kwa amri ya Mahakama Kuu ya Gauteng, Johannesburg na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu inafuatilia ili ndege iachiwe
View attachment 1188590
Katika wapuuzi ambao wanastaili kubadilishana na mbegu za matikiti maji basi wewe ni mmoja wapo.We jamaa kweli zero.
Hivi wale Jamaa waliozuia ndege yetu Canada walikuwa wanaidai ATCL?
Ukishajua walikuwa wanamdai nani utaelewa kwa Nini nimekuota zero