yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
Ndugu serikali mmetupola uwanja wetu tuliopewa na yusuph manji kwaajili ya ujenzi Wa uwanja Wa mpira...so huo uwanja ni Wa public mmetunyang"anya kwa sababu zenu za kisiasa kwamba manji hajaendeleza hill eneo.kama ni hivyo pigeni pangA eneo la manji mtuachie eneo letu.....Simba walisaidiwa na kikwete kupata poli lao la bunju, lakini sisi wizara inatunyang"anya...au ndo tuite mfumosimba upo kazini sasa?!