Serikali isipoangalia inaleta matatizo makubwa kwenye uchumi hasa ajira. Biashara ndogo ndogo hazikui vizuri
(1) Kodi wanazotakiwa kulipa
(2) Hawajui kutoa au kuweka rekodi za biashara.
Kinachotokea ni kwamba TRA sasa wakija kwenye biashara hasa ndogo wanakuja na namba zao za kulipa kodi kutokana na makadirio pekee na makadirio yao yanakuwaga hata mara tatu zaidi ya ukweli na hata ukibisha ili biashara yako isifugwe unatakiwa kulipa 33% kwanza!.
Biashara ndogo sio tu hazijui kodi vizuri wanazotakiwa kulipa lakini vilevile hawajui jinsi ya kutoa matumizi kwenye biashara zao mfano wanaonyesha mauzo bila kutoa gharama kama vile usafiri, mishahara, umeme, maji, manunuzi n.k
hii inasababisha walipe kodi kubwa kuliko uwezo na ukweli wa biashara. Biashara hivi zinaanza kwenda kwa harasa na baada ya muda zinakufa kwani ukweli ni kwamba kuna gharama nyingi sana za biashara lakini hakuna utaratibu wa kuweka takwimu. Serikali kwa kupitia TRA wanatakiwa;
(1) watoe elimu ya kodi
(2) Wasitoze kodi kwa makadirio.
Biashara hizi zikifa na kazi zinapotea haya ni mawazo tu
(1) Kodi wanazotakiwa kulipa
(2) Hawajui kutoa au kuweka rekodi za biashara.
Kinachotokea ni kwamba TRA sasa wakija kwenye biashara hasa ndogo wanakuja na namba zao za kulipa kodi kutokana na makadirio pekee na makadirio yao yanakuwaga hata mara tatu zaidi ya ukweli na hata ukibisha ili biashara yako isifugwe unatakiwa kulipa 33% kwanza!.
Biashara ndogo sio tu hazijui kodi vizuri wanazotakiwa kulipa lakini vilevile hawajui jinsi ya kutoa matumizi kwenye biashara zao mfano wanaonyesha mauzo bila kutoa gharama kama vile usafiri, mishahara, umeme, maji, manunuzi n.k
hii inasababisha walipe kodi kubwa kuliko uwezo na ukweli wa biashara. Biashara hivi zinaanza kwenda kwa harasa na baada ya muda zinakufa kwani ukweli ni kwamba kuna gharama nyingi sana za biashara lakini hakuna utaratibu wa kuweka takwimu. Serikali kwa kupitia TRA wanatakiwa;
(1) watoe elimu ya kodi
(2) Wasitoze kodi kwa makadirio.
Biashara hizi zikifa na kazi zinapotea haya ni mawazo tu