Hao Tra kibaha hawana msaada bora uhamishe file peleka DSM hao wa pwani mama yangu barua utapeleka mwenyewe shinyanga. Wanafanya kazi utadhani enzi za mwalimuPoa mimi niko hapa Kibaha Tra naomba kuhamisha faili toka Shinyanga kuja kibaha na ambiwa niende Shinyanga kupeleka barua ya kuhamisha faili yaani ina maana Tra bado wanatumia manuel nikaomba kukadiliwa hapo sasa ni komoeni naomba zichapishwe form zenye vipengele kama vilivyotajwa juu,usafiri,kodi nk badala ya mhasibu mtaji mdogo utampa nini
Sijakwepa hoja ya msingi jukum la kuhakikisha wafanya biashara hususani wadogo wasio na wataalam wa ukokotoaji na uandaaji wa taarifa linapaswa kuwa la Tra.Kaka unakwepa hoja ya msingi. Soma uelewe nilichoandika. Narudia nimesema umefika wakati muafaka kuwe na services zinazotarget SMEs kwenye mambo ya book keeping kwa maana gharama zake zitakiuwa ndogo. Nimependekeza tu kama kuna mtu mwenye nia ya kuinvest kwenye hili. Wewe umengangana na kwamba biashara ndogo biashara ndogo. Sasa mimi nasema kuwe na accounting services zinazotarget biashara ndogo kwa gharama nafuu. Mwisho wa siku biashara bila records ni kupoteza muda. Bila ya hivyo TRA wataendelea kuwakadiria watu kodi kubwa. Sasa mtu atajuaje kuhusu ishu ya gharama zako kama huna mahesabu yeyote ya kuaminisha? Tutafute suluhu ya tatizo...Mimi nimependekeza hivyo. Wewe pendekeza ipi itakuwa ni hatua stahiki ya kupunguza tatizo. Maana mpaka sasa unalalamikia TRA bila kupendekeza hatua stahiki za kufanya aidha na wafanyabishara au TRA. Sema nini TRA wanapswa kufanya ili kujua kiwango stahiki unachopaswa kulipa kama huna mahesabu yeyote ya biashara?
Sijakwepa hoja ya msingi jukum la kuhakikisha wafanya biashara hususani wadogo wasio na wataalam wa ukokotoaji na uandaaji wa taarifa linapaswa kuwa la Tra.Kaka unakwepa hoja ya msingi. Soma uelewe nilichoandika. Narudia nimesema umefika wakati muafaka kuwe na services zinazotarget SMEs kwenye mambo ya book keeping kwa maana gharama zake zitakiuwa ndogo. Nimependekeza tu kama kuna mtu mwenye nia ya kuinvest kwenye hili. Wewe umengangana na kwamba biashara ndogo biashara ndogo. Sasa mimi nasema kuwe na accounting services zinazotarget biashara ndogo kwa gharama nafuu. Mwisho wa siku biashara bila records ni kupoteza muda. Bila ya hivyo TRA wataendelea kuwakadiria watu kodi kubwa. Sasa mtu atajuaje kuhusu ishu ya gharama zako kama huna mahesabu yeyote ya kuaminisha? Tutafute suluhu ya tatizo...Mimi nimependekeza hivyo. Wewe pendekeza ipi itakuwa ni hatua stahiki ya kupunguza tatizo. Maana mpaka sasa unalalamikia TRA bila kupendekeza hatua stahiki za kufanya aidha na wafanyabishara au TRA. Sema nini TRA wanapswa kufanya ili kujua kiwango stahiki unachopaswa kulipa kama huna mahesabu yeyote ya biashara?