Serikali na Waziri Husika mnafaham uwepo wa Jambo hili? kuliokoa Taifa na Maafa hapo baadaye

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
Huu ni Ujumbe unazogaa kwenye social media nyingi sana kwa sasa. nimepokea na baada ya kutumiwa na watu kadhaa nikasema ni vyema kwa ajili ya kupeana tahadhari katika ulimwengu kama huuu, wenye mashaka makuu. Waziri mhusika pia ni vyema akatoa tamko na kama wabunge watasoma ni vyema wakaomba maelezo. maana akili yangu inanikumbusha Mambo ya DECI miaka hiyo.


I CHARITY CLUB ni Taasisi Ambayo ipo duniani ikiwa na Nia na lengo la kusaidia duniani au jamii iliyopo duniani kujikwamua yenyewe kiuchumi, Yaaaani I CHARITY CLUB wenyewe wametoa tu MFUMO Narudia tena MFUMO, ambao wanajamii ambao ni mimi na wewe tunatumia au tunautumia au utautumia wewe pindi utakapojiunga KUJIKWAMUA KIUCHUMI
HISTORIA
iCharity Club ni Taasisi iliyoanzishwa December 2015 nchini Marekani.

Lengo Kuu la hii Taasisi ni kuisaidia dunia (jamii husika ya mahali husika iweze kujikwamua yenyewe kiuchumi kwa njia ya wanajamii wenyewe kuweza kusaidiana kwa kuinuana kiuchumi kwa njia ya KUCHANGIANA.

Sasa basi mnachangianaje na kunyanyuana kiuchumi / kifedha?

Ili uweze kujiunga na Fursa hii ya I CHARITY CLUB ni lazima ujiunge kwa kumpatia / kumchangia / kumtumia moja kwa moja kwenye simu yake (tigo pesa, mpesa, airtel money, ezy pesa, PayPal, Bitcoin, Western Union, Bank za kawaida n.k Kiasi cha shilingi 50,000 / = Yule aliyekupa / kushirikisha fursa hii ambaye atakuwa ni Mwanachama wa I CHARITY CLUB Ili akusajili. Fedha hiyo itakuwa ni yake moja kwa moja.

Hivyo
??Unatoa / kuchangia 50,000 kwa aliyekushirikisha Fursa hii (mama) ..

?? GRADE 1 ??

??Kisha wewe unatakiwa (kushirikisha) watu 5....na kila mmoja atakupatia / kukuchangia na wewe 50,000 Tsh. ( za Kwako hizo huwarudishii) ZAKO

??5� 50,000= 250,000/=

?? GRADE 2 ??

??Kwenye hiyo 250,000 unatakiwa kuchangia 100,000 kwa mtu alomuunganisha alokuunganisha wewe (Bibi/babu) , kwa lugha rahisi ni kwamba una changia hiyo hela kwa Babu/Bibi yako.

??So, itakuwa
250,000-100,000= Utabakiwa na Tsh 150,000/=

??150,000-50,000 (Mtaji ile uliyotoa kwanza )= 100,000/=

??100,000 ndo faida kutokana na watu wako wale watano.

??2. Hao watano...kila mmoja ataunganisha watano kama ulivyofanya wewe...

??Then itakuwa watu wako wa 5 (watoto) Wakishirikisha wa 5 wao= 25 Watu (wajukuu)

??Na hao 25 Wakishirikisha wa 5 wao na wao watakuwa na 250,000 /=
??Sasa basi kila mjukuu wako mmoja Atakuchangia Tsh 100,000 toka kwenye 250,000 zao kama wewe ulivyomchangia bibi yako 100,000 pale awali = SAWA??

??Hivyo basi 100,000 X 25 wajukuu = Jumla ukapokea / changiwa kiasi cha Tsh 2,500,000/=

?? GRADE 3 ??

??Kwenye 2.5M yako Sasa hivi utamchangia wa juu yako zaidi 200,000=
2, 500,000 -200,000= (2.3 M hiyo faida yako utakula wewe na familia yako)

??Hela inazidi kuongezeka tuuuu...

??3) Na hao 25 kila mmoja akiunganisha watano ndani ya timu yako utakuwa na vitukuu 125. Na wao pia watakuchangia 200,000 kila mmoja

??Tsh 200,000 X125 wajukuu unapata Milioni 25.

?? GRADE 4 ??
??Hapo utatoa laki 3 ya kumchangia Tena wa juu yako zaidi inayobaki ni faida yako. Na hivyo kuruhusu kupokea 300,000 toka kwa vitukuu vyako 625

??625 vitukuu X300,000= 187,500,000/= HIZO FEDHA NI ZAKO WEWE UTAKAZOZIPATA KWA KUCHANGIANA NA WENZAKO TU.

Tambua, I CHARITY CLUB Kuna Grade ya 1 hadi Grade 10. Kwenye hiyo grade ya 4 Tayari una Milioni 187.5. Ukifika Grade ya 10 utakuwa na Mamilioni mangapi?

??KARIBU I CHARTY CLUB

??HEBU TUACHE KUCHANGIANA VITU VINAVYOTAPANYA PESA, HARUSI, KITCHEN PARTY, KIPAIMARA N.K KARIBU UJIUNGE NA I CHARITY CLUB NJOO TUCHANGIANE VITU VYA KUTUNYANYUA KIUCHUMI / KIFEDHA / ADA / UJENZI, MITAJI YA BIASHARA NA MAENDELEO MENGINE.

?KUMBUKA ?
I CHARITY CLUB haishiki fedha yoyote ya Mwanachama wake, KILA MWANACHAMA WA I CHARITY CLUB ANASHIKA FEDHA ZAKE MWENYEWE KWENYE ACCOUNT YAKE MWENYEWE.
 
Huu ni Ujumbe unazogaa kwenye social media nyingi sana kwa sasa. nimepokea na baada ya kutumiwa na watu kadhaa nikasema ni vyema kwa ajili ya kupeana tahadhari katika ulimwengu kama huuu, wenye mashaka makuu. Waziri mhusika pia ni vyema akatoa tamko na kama wabunge watasoma ni vyema wakaomba maelezo. maana akili yangu inanikumbusha Mambo ya DECI miaka hiyo.


I CHARITY CLUB ni Taasisi Ambayo ipo duniani ikiwa na Nia na lengo la kusaidia duniani au jamii iliyopo duniani kujikwamua yenyewe kiuchumi, Yaaaani I CHARITY CLUB wenyewe wametoa tu MFUMO Narudia tena MFUMO, ambao wanajamii ambao ni mimi na wewe tunatumia au tunautumia au utautumia wewe pindi utakapojiunga KUJIKWAMUA KIUCHUMI
HISTORIA
iCharity Club ni Taasisi iliyoanzishwa December 2015 nchini Marekani.

Lengo Kuu la hii Taasisi ni kuisaidia dunia (jamii husika ya mahali husika iweze kujikwamua yenyewe kiuchumi kwa njia ya wanajamii wenyewe kuweza kusaidiana kwa kuinuana kiuchumi kwa njia ya KUCHANGIANA.

Sasa basi mnachangianaje na kunyanyuana kiuchumi / kifedha?

Ili uweze kujiunga na Fursa hii ya I CHARITY CLUB ni lazima ujiunge kwa kumpatia / kumchangia / kumtumia moja kwa moja kwenye simu yake (tigo pesa, mpesa, airtel money, ezy pesa, PayPal, Bitcoin, Western Union, Bank za kawaida n.k Kiasi cha shilingi 50,000 / = Yule aliyekupa / kushirikisha fursa hii ambaye atakuwa ni Mwanachama wa I CHARITY CLUB Ili akusajili. Fedha hiyo itakuwa ni yake moja kwa moja.

Hivyo
??Unatoa / kuchangia 50,000 kwa aliyekushirikisha Fursa hii (mama) ..

?? GRADE 1 ??

??Kisha wewe unatakiwa (kushirikisha) watu 5....na kila mmoja atakupatia / kukuchangia na wewe 50,000 Tsh. ( za Kwako hizo huwarudishii) ZAKO

??5� 50,000= 250,000/=

?? GRADE 2 ??

??Kwenye hiyo 250,000 unatakiwa kuchangia 100,000 kwa mtu alomuunganisha alokuunganisha wewe (Bibi/babu) , kwa lugha rahisi ni kwamba una changia hiyo hela kwa Babu/Bibi yako.

??So, itakuwa
250,000-100,000= Utabakiwa na Tsh 150,000/=

??150,000-50,000 (Mtaji ile uliyotoa kwanza )= 100,000/=

??100,000 ndo faida kutokana na watu wako wale watano.

??2. Hao watano...kila mmoja ataunganisha watano kama ulivyofanya wewe...

??Then itakuwa watu wako wa 5 (watoto) Wakishirikisha wa 5 wao= 25 Watu (wajukuu)

??Na hao 25 Wakishirikisha wa 5 wao na wao watakuwa na 250,000 /=
??Sasa basi kila mjukuu wako mmoja Atakuchangia Tsh 100,000 toka kwenye 250,000 zao kama wewe ulivyomchangia bibi yako 100,000 pale awali = SAWA??

??Hivyo basi 100,000 X 25 wajukuu = Jumla ukapokea / changiwa kiasi cha Tsh 2,500,000/=

?? GRADE 3 ??

??Kwenye 2.5M yako Sasa hivi utamchangia wa juu yako zaidi 200,000=
2, 500,000 -200,000= (2.3 M hiyo faida yako utakula wewe na familia yako)

??Hela inazidi kuongezeka tuuuu...

??3) Na hao 25 kila mmoja akiunganisha watano ndani ya timu yako utakuwa na vitukuu 125. Na wao pia watakuchangia 200,000 kila mmoja

??Tsh 200,000 X125 wajukuu unapata Milioni 25.

?? GRADE 4 ??
??Hapo utatoa laki 3 ya kumchangia Tena wa juu yako zaidi inayobaki ni faida yako. Na hivyo kuruhusu kupokea 300,000 toka kwa vitukuu vyako 625

??625 vitukuu X300,000= 187,500,000/= HIZO FEDHA NI ZAKO WEWE UTAKAZOZIPATA KWA KUCHANGIANA NA WENZAKO TU.

Tambua, I CHARITY CLUB Kuna Grade ya 1 hadi Grade 10. Kwenye hiyo grade ya 4 Tayari una Milioni 187.5. Ukifika Grade ya 10 utakuwa na Mamilioni mangapi?

??KARIBU I CHARTY CLUB

??HEBU TUACHE KUCHANGIANA VITU VINAVYOTAPANYA PESA, HARUSI, KITCHEN PARTY, KIPAIMARA N.K KARIBU UJIUNGE NA I CHARITY CLUB NJOO TUCHANGIANE VITU VYA KUTUNYANYUA KIUCHUMI / KIFEDHA / ADA / UJENZI, MITAJI YA BIASHARA NA MAENDELEO MENGINE.

?KUMBUKA ?
I CHARITY CLUB haishiki fedha yoyote ya Mwanachama wake, KILA MWANACHAMA WA I CHARITY CLUB ANASHIKA FEDHA ZAKE MWENYEWE KWENYE ACCOUNT YAKE MWENYEWE.
nimeipenda sana ila nina maswali mengi ya kukuuliza niandikie namba yako ya simu au Email
 
Hebu tuache kwanza,tunawafuatilia chadema,tumepata taarifa za kiintelijensia kwamba wana mkutano leo
 
Moderator ondoa hii kitu.
Hii ni PONZI SCHEME au DECI .Huyu anataka kuliza watu kama DECI WALIVYOFANYA.
Ushauri mtu usicheze huu mchezo utadakwa na vyombo vya usalama kama kibaka
 
imeshawahi kutokea hata kwa dakika 5 ukatumia akili? dakika 5 tu? sidhani.unadumisha tu fikra za wenzio. so hata huelew lengo la mleta mda hii ni nini. Moja ya tatizo kubwa lililopo kwa kizazi hiki ni kuwa wanakurupuka sana. yaani wakati wote ni kama mtu anayeoga nje ukikohoa tu anakimbia kujibanza sehemu. ungesoma mwanzoni tu bandiko hili ungegundua lengo la mleta mada ni nini. lakini kwa kuwa ni kama mtu anayeoga nje basi tayari umeshakurupuka ukidhani na Moderators watakuwa na upeo kama wako.

wabillaah tawfiq dada

Moderator ondoa hii kitu.
Hii ni PONZI SCHEME au DECI .Huyu anataka kuliza watu kama DECI WALIVYOFANYA.
Ushauri mtu usicheze huu mchezo utadakwa na vyombo vya usalama kama kibaka
 
Mtu wa mwisho ataechangia 50. atapataje faida au atarudshiwaje ela yake. kweny huu mchezo lazma kue na mtu wa mwisho ambae itakula kwake
 
hapa kuna tatzo sana endapo kila mwanachama atataka kuchukua pesa yake,mwisho wa cku wengne watatoka kapa
 
Moderator ondoa hii kitu.
Hii ni PONZI SCHEME au DECI .Huyu anataka kuliza watu kama DECI WALIVYOFANYA.
Ushauri mtu usicheze huu mchezo utadakwa na vyombo vya usalama kama kibaka
Tatizo lenu huwa hamjipi muda wa kusoma. Ni hasara kwa taifa kuongozwa na watu kama nyie!!
 
Yaani hamliziki tu...mlitulimisha na kisha kutupandisha 'mbegu' za DESI. Sasa mnaibuka na Charite...! wakati tayari Mh. kashaweka kufuli kwenye 'sefu', hivi mnawaza nini?
 
Eheee kumekuchwa sasa DECI 2 huku madawa na huduma za celimundu tb nabukimwi tulipitia? C bora watuletee mabomu ya Hiroshima tufilie mbali tu?
 
Moderator ondoa hii kitu.
Hii ni PONZI SCHEME au DECI .Huyu anataka kuliza watu kama DECI WALIVYOFANYA.
Ushauri mtu usicheze huu mchezo utadakwa na vyombo vya usalama kama kibaka
No no hii ni tofauti kabisa, pesa yako unayo wewe mwenyewe boss
 
Back
Top Bottom