lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Wana jf nawasalimu.
Hizi ni image (attachments) mbili tofauti na samahani kama nimeziweka kwenye jukwaa lisilo sahihi.
Naomba msaada hasa kwa wale wataalamu wa uchumi juu ya athari ziazoweza kujitokeza kwa serikali kukopa moja kwa moja kwenye benki za biashara.
Pia nashangaa kidogo kuona benki ikitumia kigezo cha kuikopesha serikari katika 'kuboost' biashara zake kupitia advert kama hili tangazo lilivyo kama nilivyoliona kutoka kwenye moja ya magazeti leo (Mwananchi).
Binafsi ninadhani 'adha' ya kukopa kwenye benki ingeliweza kuondolewa kwa Serikali kuondoa sehemu ndogo ya matumizi yake yasiyo ya muhimu na kuokoa USD $250m. Maana serikari yenye budget ya tririon 12 kuanza kukopa kiasi kama hiki cha pesa inaanza kutia mashaka kama kweli inaweza kufikia malengo yake.
Nawakilisha
Hizi ni image (attachments) mbili tofauti na samahani kama nimeziweka kwenye jukwaa lisilo sahihi.
Naomba msaada hasa kwa wale wataalamu wa uchumi juu ya athari ziazoweza kujitokeza kwa serikali kukopa moja kwa moja kwenye benki za biashara.
Pia nashangaa kidogo kuona benki ikitumia kigezo cha kuikopesha serikari katika 'kuboost' biashara zake kupitia advert kama hili tangazo lilivyo kama nilivyoliona kutoka kwenye moja ya magazeti leo (Mwananchi).
Binafsi ninadhani 'adha' ya kukopa kwenye benki ingeliweza kuondolewa kwa Serikali kuondoa sehemu ndogo ya matumizi yake yasiyo ya muhimu na kuokoa USD $250m. Maana serikari yenye budget ya tririon 12 kuanza kukopa kiasi kama hiki cha pesa inaanza kutia mashaka kama kweli inaweza kufikia malengo yake.
Nawakilisha