ndiyo maana wengine wanasema mnatumwa kupost upupu humu ndani ya JF. wenzako tunasema hatujapata wewe unatoa majibu ya jumla jumla, toa majibu kisayansi, kwani ukisikia kuna ugonjwa TZ utasema TZ nzima ugonjwa umeenea, hivyo kama umepata ww usiseme wote wamepata. Ukiona wenzako tunalalamika we mean it hali ni mbaya