Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,009
- 103,394
Ni ushauri wenye mantiki kwa serikali, kosa kubwa lililofanyika toka mwanzo ni kujiangaisha na mpuuzi kama Tundu Lissu, ni mtu anayetafuta sifa binafsi kwa masllahi yake, anaungwa mkono na wapiuuzi wachache wasioipend serikali. Serikali iachane kujishughulisha naye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa tafsiri yako mtu asipoipenda serikali ni mpuuzi!?