Serikali Mlichofanya kwa Walimu wa Sekondari si sahihi...

Innay

JF-Expert Member
Aug 22, 2014
297
291
Kuwahamisha kwenda Msingi
Ujumbe huu ufike Tamisemi

1. Mmedhalilisha taaluma ya Ualim.
2. Mmedharau walim wa sekondari.
3. Walimu wamehamishwa kama mizigo...hakuna makubaliano yeyote yaliyofanyika...
4. Chuki na fitna zimetamalaki uhamisho huu.. Mkuu anatoa tu watu alokuwa na chuki nao...bila kujali productivity.
5. Mtaani walimu hawa waliohamishwa wanachukuliwa kama wao ndo chanzo cha kufeli kwa watoto
6. Hakuna malipo yeyote walimu hawa wamelipwa... Kauli moja tu. Nendeni mkaanze kazi hutaki leta barua yetu ondoka hili ni agizo la Rais.
7. Hakuna training yeyote mmepanga kunoa walim hawa...!'psychological shape'
Wanaenda mazingira mapya ki mtaala...

8.

9.

10.
Kwa ukatili huu juu ya walimu..msitarajie matokeo.
 
Mbona sie walinzi...tuhamishwa malindo..kila siku hatulalamiki....
Kafundishe msingi...huko
Tena elimu kubwa zote...zikafundishe msingi.

Umeuita msingi...unataka ujenge na mafundi wasiojiweza?

Nenda kafundish upesi.hutaki rudi kwenu kakae nanao.
Nchi ya walalamika.

Si mlikuwa mnashangaa wanafunzi kuja seco bila kujua kusoma na kuandika....sasa kafanyeni jitihada yasitokee yale ya kuchora mazombi.

Kajenge msingi
 
Mbona sie walinzi...tuhamishwa malindo..kila siku hatulalamiki....
Kafundishe msingi...huko
Tena elimu kubwa zote...zikafundishe msingi.

Umeuita msingi...unataka ujenge na mafundi wasiojiweza?

Nenda kafundish upesi.hutaki rudi kwenu kakae nanao.
Nchi ya walalamika.

Si mlikuwa mnashangaa wanafunzi kuja seco bila kujua kusoma na kuandika....sasa kafanyeni jitihada yasitokee yale ya kuchora mazombi.

Kajenge msingi
Mbona unashambulia tu? Huoni hoja zake?
 
Mimi sioni tatizo kwa kuwa mshahara wako unabaki kama ulivyo tu. Nenda kafanye kazi.
 
Kuwahamisha kwenda Msingi
Ujumbe huu ufike Tamisemi

1. Mmedhalilisha taaluma ya Ualim.
2. Mmedharau walim wa sekondari.
3. Walimu wamehamishwa kama mizigo...hakuna makubaliano yeyote yaliyofanyika...
4. Chuki na fitna zimetamalaki uhamisho huu.. Mkuu anatoa tu watu alokuwa na chuki nao...bila kujali productivity.
5. Mtaani walimu hawa waliohamishwa wanachukuliwa kama wao ndo chanzo cha kufeli kwa watoto
6. Hakuna malipo yeyote walimu hawa wamelipwa... Kauli moja tu. Nendeni mkaanze kazi hutaki leta barua yetu ondoka hili ni agizo la Rais.
7. Hakuna training yeyote mmepanga kunoa walim hawa...!'psychological shape'
Wanaenda mazingira mapya ki mtaala...

8.

9.

10.
Kwa ukatili huu juu ya walimu..msitarajie matokeo.
Waandike barua za madai kwa kurejea vifungu katika sheria ya ajira na mahusiano kazini na au Kanuni za kudumu za utumishi wa umma.
 
Mbona sie walinzi...tuhamishwa malindo..kila siku hatulalamiki....
Kafundishe msingi...huko
Tena elimu kubwa zote...zikafundishe msingi.

Umeuita msingi...unataka ujenge na mafundi wasiojiweza?

Nenda kafundish upesi.hutaki rudi kwenu kakae nanao.
Nchi ya walalamika.

Si mlikuwa mnashangaa wanafunzi kuja seco bila kujua kusoma na kuandika....sasa kafanyeni jitihada yasitokee yale ya kuchora mazombi.

Kajenge msingi

Sad ni kwamba akili kama hizi ndizo tumekabidhi nchi, yaani watu wanaowaza kama wewe ndio wanaoongoza nchi. Typical! Mh mbunge wa Kigoma mjini aliwahi kusema tumekabidhi nchi kwa washamba! Yaani watu kama wewe!
Hakuna mipango, watu wanalala, wanaamka, wanatoa matamko, wanafoka, wanakebehi, wanatisha, wanainua mabega, wakitegemea delivery!

Muda ni hakimu mwema sana, tungoje matokeo!
 
Mbona sie walinzi...tuhamishwa malindo..kila siku hatulalamiki....
Kafundishe msingi...huko
Tena elimu kubwa zote...zikafundishe msingi.

Umeuita msingi...unataka ujenge na mafundi wasiojiweza?

Nenda kafundish upesi.hutaki rudi kwenu kakae nanao.
Nchi ya walalamika.

Si mlikuwa mnashangaa wanafunzi kuja seco bila kujua kusoma na kuandika....sasa kafanyeni jitihada yasitokee yale ya kuchora mazombi.

Kajenge msingi
Naona umekurupuka...

Soma taratibu nlichoandika.
 
nikimnukuu ndalichako "... ni huruma tu za serikali, ilibidi walimu hawa wapigwe redundancy"
hapo ndipo nilipoamini mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa na ukawa mwisho wangu kumtetea huyu mama kwa hoja popote pale.
Aliongea lini hivyo!??
 
nikimnukuu ndalichako "... ni huruma tu za serikali, ilibidi walimu hawa wapigwe redundancy"
hapo ndipo nilipoamini mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa na ukawa mwisho wangu kumtetea huyu mama kwa hoja popote pale.
Hee...Redundancy tena?
 
Usitegemee kutokumjali mfanyakazi wako halafu perfomance yake iwe nzuri.

Hili tutalisubiri saana.... elimu yetu inaanza kuharibika kwa mambo yunayoyaona hayana maan kama haya lakini athari yake ni kubwa.

Ndalichako amekuwa mwalimu kwa muda mrefu lakini haya mambo yanapelekwa tu.
 
Back
Top Bottom