Serikali: Marufuku kupiga kelele Maeneo ya Makazi!

safi san utitiri wa bar zilizojaa sinza na ya mkelele .....
 
Msem nakubakiana nawe kabisa. Suluhisho si kuruhusu watu wafanye makelele kwa kulipia bali kuzuia kabisa. Madhara ya kelele hizo hayaondokinkwa mtu kukipa milioni kumi! Nafikiri wangesimamia hizi kumbinza starehe zisijengwe kwenye makazi ya watu na pia ziwe ni kumbi zile zinazozuia kelele kutoka nje. vinginevyo naona hii itakuwa njia ya kukusanyia mapato ya serikali
 
Hii kero ni ngumu kutekelezeka Kama ilivyo vigumu kutekeleza sheria ya kuvuta sigara Mbele za wengi
 
Wakimaliza huko kwenye mabaa na majumbani, warudi kwenye hizi bodaboda.

Tunawapenda sana ndugu zetu wa bodaboda kwani wamerahisisha sana huduma za usafiri.....tatizo ni hayo makelele ya hizo pikipiki zao jamaniii dah..ni kero kubwa sana na chakushangaza sio zote zina makelele.

Wengine nafikiri wanang'ofoa mafla kwa makusudi kabisa ili zipige makelele....hii imekuoa ni kero mpya na inatusumbua sana humu majumbani na mitaani kwa kweli.
 
Adhana ikipigwa haizidi 10 min ila kuna yale madisko ya walokole .. 24/7 kero sana
 
bar uswahilini ndipo kuna balaa na huko kuwadhibiti ni vigumu mmo hata Wamiliki wake wengi huwa hawafuati sheria watu huanza kunywa Pombe hata Asubuhi mapema .
 
Hata bajaji pia nazo zina miziki mikubwa siku hizi hata baadhi ya Magari binafsi yanapiga miziki yakiwa kwenye foleni,
 
hakuna jipya hapa. kama kweli serikali ina ubavu wa kuzuia KELELE kwa maana ya KELELE, waanze kupiga ban zile kelel za SAA 11 ALFAJIRI. hakuna kelele zinazokera na kuudhi kuliko hizi kelele za maspika ya alfajiri.

CC: @FaizaFoxy
 
exactly! kwanza katika enzi hizi za dijitali, ni USHAMBA NA KUTOKUJITAMBUA ikiwa bado watu wanatarajia kuamshwa kwa maspika badala ya alarm. dhana nzima ya maspika inakosa uhalali kwa kuwa kila raia anayo saa ambayo anaweza kuweka alarm ili imsaidie kuamka kama kweli anataka kwenda kuswali.
 
Tupatieni namba za simu .tupige mbara tunapo sikia kelele mtaani .kama kweli mpo serious kuondoa hili tatizo
 
NI KUMBI GANI? YA STAREHE AMBAYO IPO MBALI KIASI CHA KUTOSHA KUTOBUGUDHI WATU??/
KWA MAANA YAO / KUMBI ZIJENGWE JANGWANI AU KULE BONDE LA SUKITA! MAANA HATA MZIKI MARA UPIGWAPO JANGWANI PIA HUKERA VILEVILE/,HEKIMA ITUMIKE ZAIDI NEMC WAACHE SHUGULI ZA SOCIAL ZIENDELEE NA MARA MZIKI UNAPOZIDISHWA MAJIRANI WAKAE WATAFUTE MNAMA YA KUTATUA / HIVI NDIVYO WATANZANIA TUNAVYOISHI SIKU ZOTE!
Nashauri serekali isirukie kila jambo ili ati waziri au muhusika aonekane ni mpambanaji nope!
n.b
****
NI BUSARA KWA WAKATI HUU SEREKALI IKAJIKITA KTK UKUSANYAJI MAPATO KWA UMAKINI MKUBWA /
#KUZIBAmianyaYOTE/
 
Saa 4 usiku...?? Huko ni mbali sanaaaaaaaaa wangefanya saa 2 usiku ni mwishooo...!!! Sasa walokole na baikoko, vigodoro mwisho ingefaa saa 2 usiku... maana wanapiga makelele kutangaza biashara zao za dini na ngono usiku kucha...!!
Kila siku naipenda serikali ya Magufuli... hakuna mchezo... ni kazi tu... wako watu wanacheza vigodoro makalio nje nje mjini hapa Dar ni balaaa, pia walokole wamekuwa kama machangudua tu, usiku makelele na wanafanya uzinzi sana tu...

Stooop... saa 2 usiku...!!
 
safi san utitiri wa bar zilizojaa sinza na ya mkelele .....
Wamiliki wengi wa bar sinza ni Watumishi wa umma ni vigumu kuzifunga na hii ndiyo changamoto ya mwaka maana hawatakaa wafanikiwe Kwa Hilo.
 
Pia ule Uvaaji wa nguo chini ya matako unaopendwa na wengi Vijana sasa ni mda wa kurejesha maadili ingawa ni kazi ngumu kuliko zote maana Waziri wa Utamaduni hathubutu kuwagusa hao Vijana Wavaaji mlegezo .
 
Wakaige mfano kule South Africa kuna bar za mitaani lakini hazipigi miziki Kwa sauti kubwa wengi hujenga sound proof kuzuia bar mitaani haiwezekani bali wadhibiti usumbufu wa sauti kubwa tu.
 
Hii huenda ni pato jipya la wajanja Kwa mwaka 2016 maana kila mkwara huwanufaisha wajanja wachache ambao huwa wepesi wa kutumia fursa Kwa kasi kubwa, walizuia pikipiki zisiingie mjini sasa umegeuka kuwa mladi wa wajanja na sasa wajanja watakuwa wakipita kwenye Hizo bar kuwachukulia pesa Wamiliki wake. Nadhani hili jambo linahitaji utafiti na tathimini ya kutosha kabla hawajaanza kuchukua Hatua.
 
SEREKALI LAZIMA IFANYE KAZI KWA PHASES
PHASE I --KUDHIBITI MAPATO,KUDHIBITI MIANYA.
PHASE II---MATUMIZI BORA YA MAPATO HAYA/ VALUE FOR MONEY.
PHASE III---GOVT TENDERS,e-tendering/openness in every tenders.
PHASE IV--->>
 
AZANA HUWA INANISUMBUA SANA SAA 11ASB,SAA 8MCH,SAA 10JIONI, SAA 2,USK.
HAKIKA NI KERO SANA!
NA HILI LIFUATILIWE!
ii
Eti saa 8MCH, Uwe unajaribu kuficha ujinga kidogo, kwenye hilo andiko kuna mahala pametajwa adhana au msikiti, au unafikiri walioandaa hili andiko wana akili kama zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…