falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,298
Serikali kupitia jeshi la polisi sasa imepitisha azimio kwa majeruhi wote kutibiwa bila pf3,ambapo hapo kabla majeruhi walitakiwa kuwa na form ya pf3 ili waweze kupata matibabu, lakini kupitia utaratibu huu mpya majeruhi wataanza kupata tiba huku pf3 ikifuatiliwa.