Serikali: Mafundi wa simu wasajiliwe

Serikali: Mafundi wa simu wasajiliwe

Wengine ni mafundi tangu vyuo havijaanza yaani vipaji tu. Watawekwa kundi gani?
 
Mfano? Mafundi wapo miaka dahari wanapiga hela tu. Matatizo gani ulisikia wamepata na wakashindwa kuyatatua ati sababu hawana leseni?? Kuweni straight kuwa tunahitaji kodi kutoka kwao. Kwani ni kosa kuwadai walipe kodi? Nchi hii si ni yetu sote! Mbona mnazunguka mbuyu?
Kulipa kodi ni jambo la uzalendo.
 
Back
Top Bottom