Serikali kwanini mnalishusha hadhi sana jiji la Mwanza?

hajidanganyi wala nn we kamuuliza uyo SSH wako alipokuja kwanza alikutana na nini? kashuka airport pale alichokutana nacho mungu mdio anajua...yaan hata nigeshuka mimi nadhani watu wangenijalilia....SSH kashuka pale kaonekana kama abiria wa kawaida yaan hata watu 20 wa kumlaki kakosa .....tumeshaanza kumchukia watu wa mwamza
Siku zote maCCM wanadhani wana Mwanza wamelala hawaoni kama kuna matatizo ya miundombinu ikiwemo ufinyu wa barabara kuu zote na utoshelevu wake kumudu uhitaji ukilinganisha na hadhi ya jiji lao, na badala yake wanahisi watawageuza vibonde kwa kupata faida za kisiasa kupitia juhudi za wanamwanza wenyewe katika kulijenga jiji lao pasipo mchango wa serikali yao.
 
Ni ukweli mtupu halmshauri ya jiji ni wapuuzi watupu
Hopeless kabisa
Wanasubiria hisan ya wafadhili had kufanya mambo ya msingi na huku ni majukumu yao kabisa
 
Mtoa mada umeongea jambo la muhimu sana...na watu wenye wivu naona wakicoment upuuzi.
Mji wa mwanza ni mji mzuri sana kwa kila nyanja:, ongezeko la watu, hali nzuri ya hewa,kasi ya ukuaji, uzuri wa ziwa Victoria na faida zake, ukaribu na nchi za Afrika mashariki, unafuu wa gharama za maisha, ardhi nzuri,spidi ya ujenzi, upatikanaji wa vyakula...yaani Mwanza is the best.
TATIZO kubwa zaidi Mwanza ni UMEME na MAJI....yaani TANESCO wa mwanza ni wapumbavu kuliko maelezo, bila rushwa au kujuana kuunganishiwa umeme na maji ni kazi sana.. tembelea maeneo ya Nyamhongoro,sahwa ya chini-buhongwa, bulale,nyashishi...watu wamejenga nyumba nyingi tena za viwango vya juu kabisa ila hazina umeme hazina maji. Dar wanatumia mpaka nyaya zinazopita ardhini ila mwanza kila ukienda ofisini kwao "hakuna nguzo, hakuna vifaa" ndiyo maneno yao...ila ukienda mtaani unakuta kuna nguzo nyingi zimemwagwa hapo chini zinapigwa jua na mvua miezi 6 hadi mwaka zipo tu, mgao ndo usiseme, asubuhi na mchana mzima hakuna umeme unakuja usiku tu wa kuwashia taa..tena TANESCO wa NYAMAGANA ni wa kufukuzwa kazi wote.

Na hata taa za barabarani pia sijui zitawaka kwa namna gani.
Kwa hiyo sasa hata VIWANDA Mwanza ni vya kusuasua, nafahamu viwanda DAR vinavyotengene unga wa sembe na kwenda kuuza Sudan kusini na DRC.. Mwanza hatuwezi kwa sababu viwanda havina nishati hizi.
Mwana ikikaa vizuri ki miundombinu na nishati EA wote watachukua bidhaa mwanza.

AIRPORT nayo bado ni shida tu, haijawa na kiwango cha kamataifa, mbuga ya Serengeti iko km chache kutoka mwanza na ni miongoni mwa Vivutio 10 bora Afrika. Kweli serikali inashindwa je kuweka international flight/ airport Mwanza.

VYUO VIKUU....zaidi ya Saint Augustin!!!! kwa nn serikali isiweke chuo kikuu kingine Mwanza kikubwa

Serikali inaangaika kujenga Dodoma kwenye wakazi milioni 2 ... Inaacha jiji la watu Milioni 5.

Mwanza ikirekebishwa, East Africa nzima itahamia hapa
 
Mtoa mada umeongea jambo la muhimu sana...na watu wenye wivu naona wakicoment upuuzi.
Mji wa mwanza ni mji mzuri sana kwa kila nyanja:, ongezeko la watu, hali nzuri ya hewa,kasi ya ukuaji, uzuri wa ziwa Victoria na faida zake, ukaribu na nchi za Afrika mashariki, unafuu wa gharama za maisha, ardhi nzuri,spidi ya ujenzi, upatikanaji wa vyakula...yaani Mwanza is the best.
TATIZO kubwa zaidi Mwanza ni UMEME na MAJI....yaani TANESCO wa mwanza ni wapumbavu kuliko maelezo, bila rushwa au kujuana kuunganishiwa umeme na maji ni kazi sana.. tembelea maeneo ya Nyamhongoro,sahwa ya chini-buhongwa, bulale,nyashishi...watu wamejenga nyumba nyingi tena za viwango vya juu kabisa ila hazina umeme hazina maji. Dar wanatumia mpaka nyaya zinazopita ardhini ila mwanza kila ukienda ofisini kwao "hakuna nguzo, hakuna vifaa" ndiyo maneno yao...ila ukienda mtaani unakuta kuna nguzo nyingi zimemwagwa hapo chini zinapigwa jua na mvua miezi 6 hadi mwaka zipo tu, mgao ndo usiseme, asubuhi na mchana mzima hakuna umeme unakuja usiku tu wa kuwashia taa..tena TANESCO wa NYAMAGANA ni wa kufukuzwa kazi wote.

Na hata taa za barabarani pia sijui zitawaka kwa namna gani.
Kwa hiyo sasa hata VIWANDA Mwanza ni vya kusuasua, nafahamu viwanda DAR vinavyotengene unga wa sembe na kwenda kuuza Sudan kusini na DRC.. Mwanza hatuwezi kwa sababu viwanda havina nishati hizi.
Mwana ikikaa vizuri ki miundombinu na nishati EA wote watachukua bidhaa mwanza.

AIRPORT nayo bado ni shida tu, haijawa na kiwango cha kamataifa, mbuga ya Serengeti iko km chache kutoka mwanza na ni miongoni mwa Vivutio 10 bora Afrika. Kweli serikali inashindwa je kuweka international flight/ airport Mwanza.

VYUO VIKUU....zaidi ya Saint Augustin!!!! kwa nn serikali isiweke chuo kikuu kingine Mwanza kikubwa

Serikali inaangaika kujenga Dodoma kwenye wakazi milioni 2 ... Inaacha jiji la watu Milioni 5.

Mwanza ikirekebishwa, East Africa nzima itahamia hapa
Asante sana The great thinker Queen Matty, wewe ni hazina kwa taifa hili na huo ndiyo uzalendo, ningetamani kama ulichokiandika hapa kingeweza kuwafikia mamia kwa maelfu ya walengwa wakatambua kuwa sasa imetosha ni muda wa kufanya mabadiliko, huu si wakati tena wakuendelea kuzorotesha maendeleo ya jiji la Mwanza kwa mapenzi binafsi ya watu wachache wasiyoitakia mema Mwanza.

Jiji la Mwanza ndo kitovu kipya cha uchumi wa nchi yetu na kiunganishi muhimu kibiashara na nchi zote za maziwa makuu hivyo likiandaliwa vyema kimiundombinu na miundomsingi kwa kuhakikisha huduma muhimu zinapatikana kwa urahisi,uhakika na kwa wakati stahiki; Mfano:- nishati ya umeme viwandani na majumbani, maji na barabara za lami, Vyuo vikuu, kuimarisha njia zote za uchukuzi,teknolojia na mawasiliano kuweza kukopi na majiji mengine ya kisasa, hospitali kubwa za rufaa,kuimarisha bandari, ujenzi wa vituo vya tafiti mbalimbali na masoko, viwanda, uwekezaji kwenye michezo na miundombinu yake, fukwe, kumbi za mikutano, mahoteli na utalii, n.k

Endapo serikali kwa kushirikiana na private sector ikiamua kuwa hivi viwepo kwa uhakika, utoshelevu na ufanisi wakuweza kuhudumia population ya Mwanza ya sasa na hata kwa miaka 100 ijayo, hivyo natu-assume azma ikafanikiwa na matekelezo yakavuka malengo kusudiwa. Mwanza itakuwa unstoppable.
 
Hapo tatizo lipo kwa wakurugenzi wajiji hasa kwa upended wa willy's ya Nyamagana ambapo ndio mjini zaid, mbona Ilemela wamejitahidi sana embu nenda ile barabara ya kuelekea sokoni sabasaba ujionee kunavyopendeza taa zimejipanga na zinavutia sana.
 
wabunge wenu wanasemaje umewauliza huyu mama waziri wa ardhi si ndio mbunge ilemela na mwingine nyamagana
 
Mtoa mada umeongea jambo la muhimu sana...na watu wenye wivu naona wakicoment upuuzi.
Mji wa mwanza ni mji mzuri sana kwa kila nyanja:, ongezeko la watu, hali nzuri ya hewa,kasi ya ukuaji, uzuri wa ziwa Victoria na faida zake, ukaribu na nchi za Afrika mashariki, unafuu wa gharama za maisha, ardhi nzuri,spidi ya ujenzi, upatikanaji wa vyakula...yaani Mwanza is the best.
TATIZO kubwa zaidi Mwanza ni UMEME na MAJI....yaani TANESCO wa mwanza ni wapumbavu kuliko maelezo, bila rushwa au kujuana kuunganishiwa umeme na maji ni kazi sana.. tembelea maeneo ya Nyamhongoro,sahwa ya chini-buhongwa, bulale,nyashishi...watu wamejenga nyumba nyingi tena za viwango vya juu kabisa ila hazina umeme hazina maji. Dar wanatumia mpaka nyaya zinazopita ardhini ila mwanza kila ukienda ofisini kwao "hakuna nguzo, hakuna vifaa" ndiyo maneno yao...ila ukienda mtaani unakuta kuna nguzo nyingi zimemwagwa hapo chini zinapigwa jua na mvua miezi 6 hadi mwaka zipo tu, mgao ndo usiseme, asubuhi na mchana mzima hakuna umeme unakuja usiku tu wa kuwashia taa..tena TANESCO wa NYAMAGANA ni wa kufukuzwa kazi wote.

Na hata taa za barabarani pia sijui zitawaka kwa namna gani.
Kwa hiyo sasa hata VIWANDA Mwanza ni vya kusuasua, nafahamu viwanda DAR vinavyotengene unga wa sembe na kwenda kuuza Sudan kusini na DRC.. Mwanza hatuwezi kwa sababu viwanda havina nishati hizi.
Mwana ikikaa vizuri ki miundombinu na nishati EA wote watachukua bidhaa mwanza.

AIRPORT nayo bado ni shida tu, haijawa na kiwango cha kamataifa, mbuga ya Serengeti iko km chache kutoka mwanza na ni miongoni mwa Vivutio 10 bora Afrika. Kweli serikali inashindwa je kuweka international flight/ airport Mwanza.

VYUO VIKUU....zaidi ya Saint Augustin!!!! kwa nn serikali isiweke chuo kikuu kingine Mwanza kikubwa

Serikali inaangaika kujenga Dodoma kwenye wakazi milioni 2 ... Inaacha jiji la watu Milioni 5.

Mwanza ikirekebishwa, East Africa nzima itahamia hapa
mwanza ina watu mil 5???🤣🤣
 
Mwanza pazuri ila baadhi ya watu wanapachukulia pa kishamba
Mwalo wa Mwanza umejaa Washamba..

Watakuja kujazana kushangazaa Hii stand yao 👇

image_downloader_1652884833297.jpg
 
Back
Top Bottom