johnnydeep
Senior Member
- May 2, 2017
- 116
- 104
Nimeona Itv wakitaarifu kuwa serikali itawekeza zaidi ya sh.biliioni 1 kwenye kiwanda cha kilimanjaro machine tools kilichopo nje kidogo ya mji wa moshi cha kutengeneza vipuri vya mashine ili kiongeze uzalishaji na kufanya kazi kwa ubora zaidi.
ni jambo la kufurahisha , ziara ya mh raisi aliyoifanya moshi imeleta matokeo mazuri.
uchumi wa nchi utakuwa kwa kupata fedha za kigeni na ajira za kazi ,tunaomba na general tyre ifufuliwe.
ningeshauri uwekezaji uongezwe hata kutoka kwa watu binafsi kwa hisa, serikali iwe na hisa nyingi 51% ili isamamie maamuzi muhimu .
kilimanjaro machine tools ni ya tatu barani afrika baada ya afrika kusini na misri kwa utengenezaji vipuri
ni jambo la kufurahisha , ziara ya mh raisi aliyoifanya moshi imeleta matokeo mazuri.
uchumi wa nchi utakuwa kwa kupata fedha za kigeni na ajira za kazi ,tunaomba na general tyre ifufuliwe.
ningeshauri uwekezaji uongezwe hata kutoka kwa watu binafsi kwa hisa, serikali iwe na hisa nyingi 51% ili isamamie maamuzi muhimu .
kilimanjaro machine tools ni ya tatu barani afrika baada ya afrika kusini na misri kwa utengenezaji vipuri