King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,433
- 88,780
- Thread starter
- #21
Mkuu hapo nilipoweka herufi kubwa panahusu.
Hahaaa ZimeHIFADHIWA tu fedha za wanachama wa DECI.
Mkuu hapo nilipoweka herufi kubwa panahusu.
Hao hao wenye risiti watafaidi lakini walipaji wakifaidi zaidi na zaidi maana watu tulishachoma moto risiti zetu.Hata kama watawarudishia watu fedha zao kweli.....Cha kujiuliza ni wangapi wana receipt?
da niliweka ka pesa kangu huko kakaenda na maji zile risiti sijui ziko wapi
Umofia Kwenu wana JF,
Serikali ipo kwenye mchakato wa kuwalipa wanachama wa DECI takribani bilioni 19 za wanachama wake.
»Haya, mliopanda mbegu kaeni mkao wa kula kurudishiwa mishiko yenu.
Ngoja uchaguzi upite, nd'o mtaijua hii nchi