Peter Mabala
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 1,212
- 1,642
Mkuu mtu asie dai anaanzaje kuusogelea huu uzi?La muhimu ni je unadai?jina lako lipo au halipo?hayo ya namba za rufiji kufuatana sio tatizo inaonesha kwamba waliajiriwa pamoja na madai yao yanaenda pamoja
Sasa watakaolipwa ni watumishi 27,389 kati ya 82,111. Kwa maana hiyo wengine walikuwa na madai hewa.? Jumla yao ambao madai yamekataliwa ni 54,722.
= 82,111 - 27,389
=54,722
Watakaolipwa ni 27389/82111 ( 33.35%) ya walioandikisha madai.
Basi tutarajie malalamiko makubwa sana baada ya hapo.
Kwahyo unataka kutuambia hao watumishi 27,389 ni wapiga kura wa jimbo la kinondoni mpaka serikali iwahadae kwa malipo ya stahiki zao?Hivi mnaielewa serikali ya awamu ya 5 inavyooperate??
Hizo bilioni 200 za kuwalipa walimu ni hewa.......
Wanajua kuwa hivi sasa wanakabiliwa na uchaguzi mgumu kabisa wa Kinondoni, kwa hiyo wana jaribu kufanya kila wawezalo ili jimbo hilo lisiende upinzani....
Na strategy mojawapo ni kuja na ahadi "hewa" kuwa malimbikizo ya zaidi ya shilingi bilioni 200 za kuwalipa walimu mwisho wa mwezi huu kuwa zipo tayari!
Wanasubiri walimu wapige kura February 17 halafu ikishafika mwisho wa mwezi, watafute namna nyingine ya kuwapiga fix!
Karai ni ukubwa wa shimo la mama yako ulikotokea,kama wanafeli wewe umefanya nini?sho.ga wewe.Acha kuhamisha magoli wewe karai,unadai daraja nenda rufiji kuna daraja la kilometa moja,kazi hamfanyi mpo bize na mambo binafsi,watoto wanafeli kila siku
Haya mambo ya kuandika majina kwenye magazeti ni kudhalilishana!
Mbona wenyewe wanapolipana huko bungeni huwa hawaandiki majina kwenye magazeti?
Majina yangetumwa kwa wakurugenzi wa halmashauri tu na wahusika wangeyaona huko! Sasa sijui wataorodhesha majina na kiasi anachopata MTU? Hii ni kuwachonganisha watumishi na ndugu zao na jamii kwa ujumla!
Haya mimi nadai sioni jina langu mkuuMajina ndio haya tu, au kuna mengine? langu siliona na ninadai,
Orodha ya majina inaonesha ni malimbikizo ya mishahara , ni Vipi kuhusu madai mengine Kama Likizo,uhamisho,posho ya kujikimu n.k? AMA nayo itakuwa na orodha inayojitegemea au ndiyo mambo ya Viwonder!!!!!
Mkuu inauma sana, sisi tuko km saba hv tulipandishwa mara ya kwanza hatukulipwa tukapandishwa tena hatukulipwa, tukaambia madai ya mshahara tusijaze yatalipwa automatic( hayo madeni ya kwanza tulijaza form mara mbili mbili). Lakini wote majina yetu hayamo. Yaani hatujui tufanyaje.Hayo huenda si madeni yote yanayodaiwa,binafsi ninadai mapunjo ya mshahara kwa miezi minane,lakini tuliambiwa kuwa madeni ya mishahara hayaandikiwi madai,kuwa mapunjo ya mishahara yanaingizwa moja kwa moja
Kwenye mishahara bila kuandika malalamiko kwa kuwa system inazo kumbukumbu.
Chakushangaza kwenye uhakiki uliofanyika wilayani kwetu walihakiki madeni yasiyo maishahara,yaani Likizo,Matibabu nk lkn msimamo uliendelea kuwa madeni ya mshahara huwa yanaingizwa moja kwa moja,lkn chakushangaza jina langu si miongoni mwa watakaolipwa,yaani halipo kwenye hiyo orodha iliyohakikiwa.
Nisaidieni wadau,tutalipwa automatic au ndio tumekosa haki zetu,na tupo wengi wenye maelezo kama ya Kwangu.
Ufafanuzi tafadhali
Maana ya kuweka majina kwenye magazeti ni ipi kwanza???Kwahyo unataka kutuambia hao watumishi 27,389 ni wapiga kura wa jimbo la kinondoni mpaka serikali iwahadae kwa malipo ya stahiki zao?
Sio kila mtu ana access ya internet kwahyo kupitia magazeti kila mtu ataangalia jina lakeMaana ya kuweka majina kwenye magazeti ni ipi kwanza???