Peter Mabala
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 1,205
- 1,633
Mkuu mtu asie dai anaanzaje kuusogelea huu uzi?La muhimu ni je unadai?jina lako lipo au halipo?hayo ya namba za rufiji kufuatana sio tatizo inaonesha kwamba waliajiriwa pamoja na madai yao yanaenda pamoja